Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Hayati Magufuli alimpenda sana Makonda, Licha ya Mashambulizi alopelekewa Makonda na Maadui zake, Mara zote Magufuli alisimama akisema "Makonda Wewe chapa Kazi".
Unaweza jiuliza, Mwenyekiti na Rais, ambaye alimpenda sana Makonda, inakuaje aache Kijana wake ashindwe kwenye Kura za Maoni???.
Kumbe Kitendo Cha Makonda kuukataa Ukuu wa Mkoa, na Kuutaman Ubunge, Kwa Magufuli ,picha aloipata ni kua "Huyu Kijana kumbe anachowaza ni Masilahi yake Binafsi , anaona Mimi niliyemteua Ukuu wa Mkoa sielewi kabisa Jukumu la Kiuongozi linalomfaa".
Mh Polepole ni Mtanzania Mzalendo mwenye Kiwango Cha juu sana Cha Hekima.
Unaweza jiuliza, Mwenyekiti na Rais, ambaye alimpenda sana Makonda, inakuaje aache Kijana wake ashindwe kwenye Kura za Maoni???.
Kumbe Kitendo Cha Makonda kuukataa Ukuu wa Mkoa, na Kuutaman Ubunge, Kwa Magufuli ,picha aloipata ni kua "Huyu Kijana kumbe anachowaza ni Masilahi yake Binafsi , anaona Mimi niliyemteua Ukuu wa Mkoa sielewi kabisa Jukumu la Kiuongozi linalomfaa".
Mh Polepole ni Mtanzania Mzalendo mwenye Kiwango Cha juu sana Cha Hekima.