Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Inapotokea mwanamke katika familia ya wawili wapendanao anasauti kuliko mumewe,na wanandugu wakaligundua hasa upande wa mume huanza kulalama ya kuwa kalishwa kitu,mara karogwa au limbwata.<br /><br />
<br /><br />
Ni kwa nini huwa wanafikiria ni libwata na sio mapenzi ya mume kwa mke ndo mana anamtii mkewe kwa kufuata kila jambo analomwambia.<br /><br />
<br /><br />
Nawasilisha.
<br /><br />
Ni kwa nini huwa wanafikiria ni libwata na sio mapenzi ya mume kwa mke ndo mana anamtii mkewe kwa kufuata kila jambo analomwambia.<br /><br />
<br /><br />
Nawasilisha.