Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Ninajaribu kuweka library ya cable zote za kuhusu Tanzania. Zimefichuka
Hatuna uhakika i kama yaliyoandikwa yapi ni kweli na yapi ni uongo Lakini Jamii ya viongozi wetu na sisi wenyewe tunaweza kujitazama kwenye kioo na kuona Tofauti ya wenzetu na sie wanavyofanya kazi. Tunaweza kuona mapungufu yetu .
Through kujitambua sisi na kuwatambua wao ndiof tunaweza kujua jinsi ya kudeal nao viuri
So kwa wale wanaopenda kusama cable hizi katika njia ya kirafiki basi watembelee Zimefichuka
Kadiri siku zinavyowenda nitakuwa nazihamisha na kuziweka kwenye hiyo blog mpaka. zote zikamilike so far ziko cable 22
Nawasilisha kwa maoni
Hatuna uhakika i kama yaliyoandikwa yapi ni kweli na yapi ni uongo Lakini Jamii ya viongozi wetu na sisi wenyewe tunaweza kujitazama kwenye kioo na kuona Tofauti ya wenzetu na sie wanavyofanya kazi. Tunaweza kuona mapungufu yetu .
Through kujitambua sisi na kuwatambua wao ndiof tunaweza kujua jinsi ya kudeal nao viuri
So kwa wale wanaopenda kusama cable hizi katika njia ya kirafiki basi watembelee Zimefichuka
Kadiri siku zinavyowenda nitakuwa nazihamisha na kuziweka kwenye hiyo blog mpaka. zote zikamilike so far ziko cable 22
Nawasilisha kwa maoni