Library ya wikileaks za bongo

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,938
1,437
Ninajaribu kuweka library ya cable zote za kuhusu Tanzania. Zimefichuka

Hatuna uhakika i kama yaliyoandikwa yapi ni kweli na yapi ni uongo Lakini Jamii ya viongozi wetu na sisi wenyewe tunaweza kujitazama kwenye kioo na kuona Tofauti ya wenzetu na sie wanavyofanya kazi. Tunaweza kuona mapungufu yetu .

Through kujitambua sisi na kuwatambua wao ndiof tunaweza kujua jinsi ya kudeal nao viuri

So kwa wale wanaopenda kusama cable hizi katika njia ya kirafiki basi watembelee Zimefichuka

Kadiri siku zinavyowenda nitakuwa nazihamisha na kuziweka kwenye hiyo blog mpaka. zote zikamilike so far ziko cable 22

Nawasilisha kwa maoni
 
hii siyo copy and paste?

Yes mkubwa ni copy and paste ila ni library tu na ninafanya filter ya zile za Tanzania tu In the future nikipta mud nitaitazifsiri hizo hizo copy and paste. Ndio maana hata kichwa cha habri nimendika library ya wikileaks za bongo

Unajua kuna watu wengi wakienda WikiLeaks au hapa http://www.wikileaks.ch/cablegate.html hawajui wafanye nini kuziona hizo cable za Tanzania. Ninachajairbu kurahisisha acess ya hii information.

Au unashari vipi mkubwa
 
Jamaa anafanya kazi nzuri, hata kama copy paste, kwani mwalimu si anacopy na kupaste kutoka kwenye kitabu, class unaenda kufanya nini si ungekamua tu mwenyewe home?

Kazi nzuri mtazamaji

Aksante mkubwa jamaa hajakosea sana nina copy na kupaste

Lakini mimi hapa naua ndege wawili kwa jiwe moja. Dhumuni kuu nilikuwa najaribu kuidadavua hii template ya jeans ya wordpress lakini nikapat idea katika kuifanyia experiment ngoja nifanye kitu fulani. ndio nikaamua hii template nita copy na kupate hizo doc.

So zaidi ya kufanya document za wikileaks ziwe accesible kirahisi nipo kwenye experiment ya vitendo kuitafiti hii template ya jeans. May be baada ya siku chache atakuta doument zio kwenye jeans nyeusi, au nyekundu au ya kijani
 
hili ni wazo zuri sana nadhani kwa mambo haya ya mtandao karibu kila kitu watu ni kucopy na paste lakini wengine wanaboa baada ya kutoa msaada yeye anajitia anajua kufafanua kila kitu

pamoja mtazamaji kwa kazi yako na wazo lako..
 
Hya sio mambo mapya lakini tunona jinsi wenzetu walivyona interanl detail na taifa letu

Katiko mfumo wa sheria na upambanai na rushwa DFID na USA wananatupa insight juu ya
  • matatizo, changamoto, urasimu ,Incomptence na kurushiana mipira kati ya ofisi ya DPP, PCCB na nyinginezo
  • Kesi kubwa kubwa amabzo ziko pending kwa muda mrefu
soma cable hii Zimefichuka » Blog Archive » GRAND CORRUPTION CASES' SLOW
 
Aksante mkubwa jamaa hajakosea sana nina copy na kupaste

Lakini mimi hapa naua ndege wawili kwa jiwe moja. Dhumuni kuu nilikuwa najaribu kuidadavua hii template ya jeans ya wordpress lakini nikapat idea katika kuifanyia experiment ngoja nifanye kitu fulani. ndio nikaamua hii template nita copy na kupate hizo doc.

So zaidi ya kufanya document za wikileaks ziwe accesible kirahisi nipo kwenye experiment ya vitendo kuitafiti hii template ya jeans. May be baada ya siku chache atakuta doument zio kwenye jeans nyeusi, au nyekundu au ya kijani


Umeitengeneza mwenyewe hiyo template? kama ndio hebu kuna umuhimu wa kukuPM
 
Umeitengeneza mwenyewe hiyo template? kama ndio hebu kuna umuhimu wa kukuPM

Sijaitengeneza mwenyewe ukisoma vizuri comment zangu kwenye hii thread utaona sehemu nimetaja jeans. Lakini nimeweza nnaweza kui customise. Nikitaka background iwe ya jeans nyeusi, kijani. etc So niko katika kuichakachua zaidi ili blogu iwe na tofauti toafuti pale ninapo amua bila uhitaji ufanya coding.

Kama unaitaka hiyo blues jueans theme unaweza kuipata free hapa Blue Jeans Wordpress Theme - Download Blue Jeans Wordpress Template . Ziko version mbili ya column tatu na ya column mbili.

Template ya wordpress niliyotengeza mwenyewe ni hii hapa http://teknohama.x10.mx/

Otherwise karibu tubadlsihan ujuzi . kutengenea tovuti nzuri kwa wordpress haiitaji nguvu kubwa sana kama ilivyokwa Joomla au drupal. Bado naendelea na research ya hii theme nataka nitafute namna nitangeneze kiswahili language pack
 

Katika libray ya wikileaks cables kupitia zimefichuka wanadopomasia wa marekani wanatupa uchambuzi ha hali ya uchumi wetu na mambo ya kifedha. Kumbuka hiyo ilikuwa ni mwaka 2006. so unaweza kutafuta dat za sasa kujua kama ni weli tunapiga hatua au tumesimama Soma cable hii kwa kirefu Zimefichuka » Blog Archive » EXPORTS KEY TO TANZANIA'S DEBT SUSTAINABILITY

Kutokana na cable hii tunaweza kwenda mbali na kujiuliza maswali mengine

Je sasa hivi tuko wapi?
what is Tanzania major export?
what is Tanzania major import?


Afrika Mashariki

Kuhusu EAC Nini mtazamo , muelekeo na maoni ya wanadiplomasia wetu na nini Mtazamo wa USA juu ya jumuiya hii?
Soma
Zimefichuka » 2011 » May

 
Idara ya Uhamiaji na Usimamizi wa mipaka yetu ikoje?

Pata isight kujua udhaifu ulipo POE( Point of entry ) kama za Kagera, Mara, Kigoma. Vifaa vya kisasa na umihimu upo kwenye viwanja vya ndege na Namanga pekee

Hii ni sehemu pia ya kipande cha udhaifu wa vyombo vyetu vya usalama kutopeana taarifa
......
Although Ulongi noted that the GOT had various watchlists, he explained that the GOT did not have any "master list" and that information sharing between Tanzania's police force, intelligence service and Immigration Department was limited. "The police and the Tanzanian Intelligence Service (TIS) are supposed to give us names for the Prohibited Immigrants Lists, but they often don't," he said, highlighting the relatively low level of information sharing within the GOT.

Kumbuka : KUtopeana taarifa kwa vyombo vya usalama kulichangia na kuliwaponza wamerekani kwenye janga la september 11

Soma habari kamili Zimefichuka » Blog Archive » GLOBAL PURSUIT OF TERRORIST INFORMATION
 
Je cable zinasemaje na Walikuwa wana maoni ganijuu ya ufisadi

  • juu ya Rais wetu na vita Ufisadi?
  • Mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU na mikakati aliyojiwekea
  • Kipimo ambacho ch mkurugenzi wa TAUKURU alibaninisha inatakiwa kuwa kipimo na ufanisi ufanisi wa kazi yake
Soma cable hii [url]http://teknohama.x10.mx/bongoleaks/?p=302 [/URL] upate insight na dira ya TAKUKURU

Maswali Je

  • kama wakubwa wenyewe wa vyombo vya usalama wana wasi wasi na masiha yo vipi raia wa kawaida?
  • "big fish" ambao boss wa takukuru alisema ndio kipimo cha ufanisi wake sasa hivi wako ukonga au bado wako "masaki "
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom