LHRC yaitisha Maandamano nchi nzima kupinga malipo ya DOWANS

Hivi huyu Masoud amewahi kuleta mabadiliko gani Chadema? Au ndiyo yale mambo yetu ya kiswahili ooooh marehemu alikuwa mzuri sana ooooh marehemu alikuwa anmpenda sana mke wake kumbe marehemu mwenyewe alikuwa chapombe kila siku anatukana watu hadharani.

ndo utajua sasa mabadiliko aliyo leta or atakayo leta... Kwa kukusaidia kaulize Misri yule machinga aliyepigwa risasi na polisi Misri ameisaidia nini Misri...
 
Wacha Nyeusi Itawale.... Nyeusi Kwenye Bendera Ni Sisi Wananchi, Ni Giza Lililoetwa Na Dowans...

Ni Mikoa Yote?? Inaanzia Wapi?
 
Mlima gani kuna milima mingi Kitonga, Sekenke, Nyashana, fafanua baada ya kutoka Mlimani wapi?
acha upuuz weye mwana CCM, Kitu gani uelewi kuhusu mlimani...ndo nyienyie msio wazalendo,na kama uelewi basi haya mambo hayakuhus
 
When the balance of Justice is swayed in favor of those with wealth (who purchase it, manipulate it for their own benefit) the very fabric of a nation is torn apart. When Mwalimu Nyerere said "corruption is the enemy of Justice" he was correct. Ironically, his words have come true in the most expensive legal suit in Dar's history-the Valambhia case, where ALL rulings, Judgements from the highest court of the land were and continue to be blatantly ignored, to the point where some lawyers fees exceeded the decretal amount owed. Go figure!
When Mr. Valambhia was shouting that there was a daylite robbery taking place at the BoT, he was right. It was and continues to take place today in this special project of few TZofficials and friends, the most expensive legal suit in Dar's history, a cash generating machine of the few&mighty.
Today, when I read in the local papers where the lawyer says to obey the decree of the court, I say what about Valambhia? The TZ gvt. blatantly disregarded the decree of the HC since 1992, they never obeyed it. IN this decision to NEVER obey Valambhia's decree, Who Benefitted? NOT Valambhia, he died in complete financial destitution. NOT the TZ taxpayers for the case still continues to incur unnecessary costs.
Also, ask one simple question, why were so many cases marshalled against one man who won his lawful, legal right? One case gave birth to 15 cases, when the TZ gvt. intervened in a case between two business partners. Mr. Valambhia and his advocate Mr. Maira won all of them. But still HC/COA rulings, Judgements were never obeyed!
For 20 years & counting, case after case thrown at one man who won his lawful, legal right, and while his decree was sitting on the desk of every TZ minister, it was blatantly ignored, when the case was still sub judiced, his entitlement was given to his other biz partner who lost the case.
When I read today, a lawyer stating that the TZ gvt. has to obey the decree of the high court because it does not look good for investment purposes. I say what about Valambhia? To this day, No Rulings, Judgements were obeyed!! NONE!!!! AND the Valambhia case has become a cash cow of few TZ officials and friends.
Yes, Mwalimu Nyerere was absolutely right in saying corruption was the enemy of Justice, but I'd like to add that corruption is one of the faces of terrorism, its a violent act that KILLS ALL&EVERYTHING for benefit of the few&mighty. It kills all decency in mankind.
 

Attachments

  • img124:the guardian june pg 1.jpg
    img124:the guardian june pg 1.jpg
    1.3 MB · Views: 26
  • img129.jpg
    img129.jpg
    1.5 MB · Views: 20
  • img134.jpg
    img134.jpg
    1.1 MB · Views: 24
Mlima gani kuna milima mingi Kitonga, Sekenke, Nyashana, fafanua baada ya kutoka Mlimani wapi?
acha upuuz weye mwana CCM, Kitu gani uelewi kuhusu mlimani...ndo nyienyie msio wazalendo,na kama uelewi basi haya mambo hayakuhus
 
1. Jk kimbia mwenyewe magogoni kabla hatujaja.
2. Hakuna kuwalipa dowans
3. Wahusika wote wafilisiwe
4. Tunataka katiba mpya kabla ya 2013
5. Tunataka ripoti ya maradhi ya dr mwakyembe
6. Tunataka ra, jk, el, ac na nape wanyaghanywe uraia
7 .
8.
9.
10. Ongezea



mabango yataandikwaje?
 
Serikali ya magamba sijui kama itatoa kibali cha maandamano haya. Itaweka mkwara mzito na kumwaga FFU wa kutosha ili kutisha Watanzania, ila mimi nayaunga mkono maandamano haya maana ufisadi uliokithiri unazidi kufanywa ndani ya nchi yetu.

EPA shilingi 133 billioni walikwapua, Meremeta wamekwapua shilingi bilioni 155 (na wahusika wote wa ukupuaji wa mabilioni haya bado wanapeta mtaani), Richmond/Dowans pamoja na kulipwa shilingi 156 millioni kwa siku na TANESCO bila kuzalisha umeme hata tone moja sasa wanataka kukwapua shilingi bilioni 111.

Imefika wakati Watanzania tusimame kwa sauti moja na kusema hadharani SASA UFISADI BASI.


Kama maandamano yanafanikiwa kufanyika Tanzania nzima kwa wakati mmoja, polisi lazima wachemshe.
 
Kweli kabisa lazma tujua kuwa CCM na serikali yake vitapita lakin nchi yetu ya Tanzania itabaki, kama hatutosimama na kupinga hila hizi za wanyonyaji wa nchi yetu, wajukuu wa watoto wetu watatuona sisi ni mabogus kwa kushindwa kupinga kitu ambacho ni dhahiri kabisa. Naomba kujuzwa ni wapi tunakutana juu ya hili na lini tuanze huo mgomo.
 
Halafuu haya maandamano yalenge kuiondoa serikali madarakani maana imeshindwa kazi hata kama yatachukua miezi 6 kama Syria, yemen na kwingineko
 
Wangesubiri walipwe kwanza ndipo maandamano yangkuwa matamu. Unajua hata wasipolipwa hatutaona tofauti yoyote, wacheni walipw kwanza ndipo moto unaweza kuwaka vizuri, vinginevyo hayatakuwa na mvuto
 
Naunga mkono hoja maana hapo tungedai nchii yetu na sio pesa


wangesubiri walipwe kwanza ndipo maandamano yangkuwa matamu. Unajua hata wasipolipwa hatutaona tofauti yoyote, wacheni walipw kwanza ndipo moto unaweza kuwaka vizuri, vinginevyo hayatakuwa na mvuto
 
Back
Top Bottom