Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,355
- 2,737
Yaani kama kuna Mtanzania anaweza kuomba Chuo LGITI Dodoma online ajitokeze hapa. Ukute Muda huu IT wa Chuo anasubiri Mshahara wakati hakuna kinachowezekana.
Simu hawapokei, wanakosesha mapato serikali, yaani shida tupu.
Hii nchi inakuwa na vijana wa hovyo sana.
Simu hawapokei, wanakosesha mapato serikali, yaani shida tupu.
Hii nchi inakuwa na vijana wa hovyo sana.
