LG wanafunga biashara yao ya simu

LG wanafunga biashara yao ya simu

racka98

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
1,042
Reaction score
1,547
Baada ya LG kutangaza mwanzo wa mwaka huu kuwa wanauza mobile division yao imefatia kufunga biashara hyo ya simu mwezi huu ujao baada ya kukosa wa kuwauzia.

Hvyo wanafunga kabisa biashara hyo ya simu na kufuta ratiba yao ya mwaka huu ilikuwa imeshapangwa. Pia wana cancel simu yao yenye rollable display iliyokuwa ikitarajiwa kutoka mwaka huu.

Hii yote ni kwasababu wanasema biashara hyo ya simu ilikuwa inaendeshwa kwa hasara.

Soma zaidi hapa: LG to stop making phones altogether, as buyouts fall through
 
Tatizo hawataki kubadilika
Hizi company za kichina sio mchezo kwenye kutoa simu za bei chee. Samsung wao walishtukia mapema wakaanza kutoa A, M, and J series.

LG walichelewa kujitupia kwenye budget devices. Na walivyotoa budgets phones kwa wingi wakawa wanaziuza USA. Sasa USA zimejaa iPhone na Samsung na watu kule wananunua simu kwa mikopo unawapelekea simu ya $150 ya nini? Walitakiwa hzo simu wazilete huku Africa, Singapore na India huko.

Motorola nao wanafata wasipo expand market yao nje ya USA na UK. Nokia naona wameamua kujitupia kwenye budget phones na ndio wanasimama kdgo sshv.
 
LG ni kampuni ya kichina!!!!! Na wewe ni ndugu wa mkalimani au!!!
Soma hapo
Screenshot_20210323-092415.jpg
 
Hizi company za kichina sio mchezo kwenye kutoa simu za bei chee. Samsung wao walishtukia mapema wakaanza kutoa A, M, and J series.

LG walichelewa kujitupia kwenye budget devices. Na walivyotoa budgets phones kwa wingi wakawa wanaziuza USA. Sasa USA zimejaa iPhone na Samsung na watu kule wananunua simu kwa mikopo unawapelekea simu ya $150 ya nini? Walitakiwa hzo simu wazilete huku Africa, Singapore na India huko.

Motorola nao wanafata wasipo expand market yao nje ya USA na UK. Nokia naona wameamua kujitupia kwenye budget phones na ndio wanasimama kdgo sshv.
Kusema ukweli LG hajawahi kushughulika na soko la masikini, huko India, China, Huku kwetu Africa etc aliachana nako. Soko lake kubwa ni North America, kwao Korea, ulaya na Nchi nyengine zenye income kubwa.

Kwa muono wangu kilichomuua ni kushindwa ku adapt kwenye premium midrange, Sababu Kina Xiaomi na Wachina wengine Hawapo Marekani na hayo masoko ya Bei.

Kama ulivyo sema Samsung A series zimemsaidia sana, A51 ndio simu Ya android iliouza kushinda zote mwaka Jana, na mwaka Juzi A50 ilikuwa ya pili Nyuma ya A10,

LG anatoa simu nzuri lakini uchumi na Bei za flagship kupanda watu wamehama kununua simu za bei.

Pia haijakuwa official ni tetesi tu kwamba Ana shut down, Hao phone arena Wana credibility ndogo sana.
 
duh! Ila zinakuwaga simu matata...
 
Kusema ukweli LG hajawahi kushughulika na soko la masikini, huko India, China, Huku kwetu Africa etc aliachana nako. Soko lake kubwa ni North America, kwao Korea, ulaya na Nchi nyengine zenye income kubwa.

Kwa muono wangu kilichomuua ni kushindwa ku adapt kwenye premium midrange, Sababu Kina Xiaomi na Wachina wengine Hawapo Marekani na hayo masoko ya Bei.

Kama ulivyo sema Samsung A series zimemsaidia sana, A51 ndio simu Ya android iliouza kushinda zote mwaka Jana, na mwaka Juzi A50 ilikuwa ya pili Nyuma ya A10,

LG anatoa simu nzuri lakini uchumi na Bei za flagship kupanda watu wamehama kununua simu za bei.

Pia haijakuwa official ni tetesi tu kwamba Ana shut down, Hao phone arena Wana credibility ndogo sana.
LG naona hata soko walilokua wanaliwinda na K series zao huko north america sshv limetekwa na Motorola. Motorola naona ndio wanauza midrange nyingi North America.
Wachina wana disrupt sana masoko, naona Xiaomi wako njiani kupigwa ban kma Huawei.
 
LG naona hata soko walilokua wanaliwinda na K series zao huko north america sshv limetekwa na Motorola. Motorola naona ndio wanauza midrange nyingi North America.
Wachina wana disrupt sana masoko, naona Xiaomi wako njiani kupigwa ban kma Huawei.
Xiaomi ameshakuwa cleared. Hana madhara sana.

Motorola toka zamani yupo vizuri soko la US, ki asili Hii ni kampuni ya Marekani kbla Lenovo hajainunua.

Na hizi K series pengine zimetengenezwa tu huko China Na odm fulani, maana walianza kuzitoa baada ya ku struggle. Nyingi ni mediatek za specs za ovyo.
 
Hizi company za kichina sio mchezo kwenye kutoa simu za bei chee. Samsung wao walishtukia mapema wakaanza kutoa A, M, and J series.

LG walichelewa kujitupia kwenye budget devices. Na walivyotoa budgets phones kwa wingi wakawa wanaziuza USA. Sasa USA zimejaa iPhone na Samsung na watu kule wananunua simu kwa mikopo unawapelekea simu ya $150 ya nini? Walitakiwa hzo simu wazilete huku Africa, Singapore na India huko.

Motorola nao wanafata wasipo expand market yao nje ya USA na UK. Nokia naona wameamua kujitupia kwenye budget phones na ndio wanasimama kdgo sshv.
Bonge moja la observation mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom