LG Nexus 5X -- natafuta iliyotumika au mpya

Mlenge

R I P
Oct 31, 2006
2,125
2,291
Natafuta simu aina ya LG Nexus 5X iliyotumika au mpya. Bei zake zikoje, na zapatikana wapi Dar es Salaam?
 
Hizo simu za mwaka 2015 wakati zinatoka ziliuzwa around euro 270, so kwa sasa unaweza kuipata hata kwa euro 120. Nenda kwa super dealers wa LG I guess utaipata.
 
Simu mpya
Tecno spark IPO hapa
Internal storage 16gb
Version 7.0
Ram 1.00
TSH 180,000
0717966128
e3076c278e4f37b79e2cca52093512a1.jpg
5fe81dec10259a6e08a16080cc3c6e5e.jpg
6fbb74cc3308e1ac40baf7d04353dc37.jpg
 
Natafuta simu aina ya LG Nexus 5X iliyotumika au mpya. Bei zake zikoje, na zapatikana wapi Dar es Salaam?
Sikushauri Mkuu kununua Nexus 5x, pamoja na Nexus 6p maana zina bootloop issue, itakufia mikononi mwako ungesubiri Pixel zishuke bei kama wewe ni mpenzi wa stock Android.

Lakini kama wewe umeipenda sana hiyo simu temporary fix ya hiyo tatizo ni hii hapa Nexus 5X Bootloop Fix Finally Lets You Boot the Phone kuna watu imewasaidia, kuna watu aijawasaidia.

Seller niliomuona nazo mwaka Jana alikuwa huyu hapa Facebook High Life Tanzania

16gb 600,000 32 gb anauza 800,000

Au kwa instagram anaitwa High Life Tanzania. Mpigie kama bado anazo pamoja na kunegotiate bei.
 
Sikushauri Mkuu kununua Nexus 5x, pamoja na Nexus 6p maana zina bootloop issue, itakufia mikononi mwako ungesubiri Pixel zishuke bei kama wewe ni mpenzi wa stock Android.

Lakini kama wewe umeipenda sana hiyo simu temporary fix ya hiyo tatizo ni hii hapa Nexus 5X Bootloop Fix Finally Lets You Boot the Phone kuna watu imewasaidia, kuna watu aijawasaidia.

Seller niliomuona nazo mwaka Jana alikuwa huyu hapa Facebook High Life Tanzania

16gb 600,000 32 gb anauza 800,000

Au kwa instagram anaitwa High Life Tanzania. Mpigie kama bado anazo pamoja na kunegotiate bei.
Shukrani. Nitamtafuta. Natarajia itakuwa imeshashuka bei, kwa vile sipendagi masimu ya gharama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom