Uko maeneo ganiNatafuta simu aina ya LG Nexus 5X iliyotumika au mpya. Bei zake zikoje, na zapatikana wapi Dar es Salaam?
Sikushauri Mkuu kununua Nexus 5x, pamoja na Nexus 6p maana zina bootloop issue, itakufia mikononi mwako ungesubiri Pixel zishuke bei kama wewe ni mpenzi wa stock Android.Natafuta simu aina ya LG Nexus 5X iliyotumika au mpya. Bei zake zikoje, na zapatikana wapi Dar es Salaam?
Shukrani. Nitamtafuta. Natarajia itakuwa imeshashuka bei, kwa vile sipendagi masimu ya gharama.Sikushauri Mkuu kununua Nexus 5x, pamoja na Nexus 6p maana zina bootloop issue, itakufia mikononi mwako ungesubiri Pixel zishuke bei kama wewe ni mpenzi wa stock Android.
Lakini kama wewe umeipenda sana hiyo simu temporary fix ya hiyo tatizo ni hii hapa Nexus 5X Bootloop Fix Finally Lets You Boot the Phone kuna watu imewasaidia, kuna watu aijawasaidia.
Seller niliomuona nazo mwaka Jana alikuwa huyu hapa Facebook High Life Tanzania
16gb 600,000 32 gb anauza 800,000
Au kwa instagram anaitwa High Life Tanzania. Mpigie kama bado anazo pamoja na kunegotiate bei.
Ninayo Nexus 5Kwa nini wataka kufahamu?