pedama
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 236
- 142
Habar zenu. Nimefanya leveling mwez January mwaka huu kwenye kiwanja kilichokuwa na mteremko. Kama haitoshi nimemwaga vifusi kadhaa vya udongo ili kusawazisha kiwanja kile kwan hata baada ya kulevo Bado mteremko uliendelea kuwepo .
Kwa wazoefu na wajuzi Ni muda gani mzuri naweza kuanza ujenzi na kusiwe na athar za kutitia kwa jengo?
Kwa wazoefu na wajuzi Ni muda gani mzuri naweza kuanza ujenzi na kusiwe na athar za kutitia kwa jengo?