Lets try to do a simple it project practically

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Wana jamvi nina wazo. ambalo kama tukikubalina na kupata idadi tutakayokubaliana tunaweza kujaribu kufanya kitu fulani simple practically huku tuijifunze, kuelimishana na kufanya vitu kwa vitendo.

Lengo ni kijifunza huku tukifanya vitu kwa vitendo na sio kuwa na kitu serius ikitokea . kikatokea kitu serius kikahitaji kuendelzwa ………

Tunajua Inernet imefanya Dunia kama kijiji .Tunajua intenet imebadilisha au imeleta maana nyingine ya neno ofisi.

Tutengenze website. Maudhui ya website hiyo tunaweza kujadiliana.
Tutachague Project Manager. Na Team member watakaopenda wasiozidi 10

Member watachagua au kupewa assignment na task ni delivery gani watatakiwa kufanya kwenye website. Hope katika website itakuwa ni Database driven

Member wataeleza hapa JF watafanyaje jukumu walilopewa. Watatumia nyenzo gani kama kutakuwa na wakurekebisha au kupendekeza vinginevyo. Mijadala yote na mawasilino itakuw kwenye uzi fulani hapa hapa maalum kwa ajili ya hiyo project


Thread ya hiyo website na project itafunguliwa hapa hapa ili kuelimishan na huku tukiona na watu wakiona kile tunachokifanya.

Tijifunze na kuelimishana kwa vitendo. Tunaweza kupractise IT project. Team leader akiwa US. Team member wakiwa UK , Dar. Kenya ,china etc.



Mnaonaje?
 

You also have mynomination of being a Project leader. Waati tunasubiri kuona response ya wadau wengine tukune vichwa vya what shuld be a tiitle of the prospective project.

Nilikuwa nafikiria hii

  • Online Contacts directory
- Web ambayo itakuwa na contacts. itaruhusu kuweka official contact za public ofisi za Mawaziri,
RC, DC, polisi, Number za shule, Hopitali, Agencies, NGO specifically kwa Tanzania
-Then baadae itaruhusu wanaopenda wasajili binafsi number zao au za biashara zao au huduma na maeno walipo , mkoa walipo

NB:
Hivi sasa mtu ukizidiwa ghafla kiafya huwezi kujua umpigie dokta gani kuwa ushuri wa kitaalam. Au kama kuna daktarikaribuna unapokaa Au hakuna taarifa inayoweza kakupatikana online kuonyesha hospitali au shule zilizopo wilaya ya kinondoni
 
Nipo tayari kwa anytime kuhusu hili swala na ni wazo zuri pia...............
 
So far

  1. RedSilverDog
  2. Mtazamaji
  3. Papizo
  4. ...
  5. ....
Nadhani tukifika watu kama 8-10 then tutafungua uzi rasmi wa Project na kujadiliana juu ya project gani tufanye kuteua leader
 
naomba idara

Subiri kabla ya idara si mpaka timu itimie , then tuweke electronic meeting tuchague leader , then tittle , tasks,etc.......

So naasume na wewe umo

  1. RedSilverDog
  2. Mtazamaji
  3. Papizo
  4. Inkoskaz
maximum of more six 6 team member required to get us started.
 
Subiri kabla ya idara si mpaka timu itimie , then tuweke electronic meeting tuchague leader , then tittle , tasks,etc.......

So naasume na wewe umo


  1. RedSilverDog
  2. Mtazamaji
  3. Papizo
  4. Inkoskaz

maximum of more six 6 team member required to get us started.

i like the energy!
 
Msiogope hili jina, halita kuwa na maana yoyote during the project. Nitafurahi kujiunga nanyi. sidhani kama ninaweza pata nafasi nzuri zaidi ya kushiriki project kama hii maana ufanisi wake unahitaji umakini, uzalendo, uungwana, na kujitolea kwa hali ya juu.
Naomba nafasi.
 
Msiogope hili jina, halita kuwa na maana yoyote during the project. Nitafurahi kujiunga nanyi. sidhani kama ninaweza pata nafasi nzuri zaidi ya kushiriki project kama hii maana ufanisi wake unahitaji umakini, uzalendo, uungwana, na kujitolea kwa hali ya juu.
Naomba nafasi.


  1. RedSilverDog
  2. Mtazamaji
  3. Papizo
  4. Inkoskaz
  5. Tabutupu
 
Mhh! Mi niko nje ya project. Ila kama itakuwa kwenye uzi nitachangia.
Tatizo muda mchache na nina Project 3 Kubwa sana. and the funny of it, 2 kati ya hizo ni web na moja inadeal na CodeIgniter.
So I will be sharing but not part of team,
sorry!
 
You also have mynomination of being a Project leader. Waati tunasubiri kuona response ya wadau wengine tukune vichwa vya what shuld be a tiitle of the prospective project.

Nilikuwa nafikiria hii

  • Online Contacts directory
- Web ambayo itakuwa na contacts. itaruhusu kuweka official contact za public ofisi za Mawaziri,
RC, DC, polisi, Number za shule, Hopitali, Agencies, NGO specifically kwa Tanzania
-Then baadae itaruhusu wanaopenda wasajili binafsi number zao au za biashara zao au huduma na maeno walipo , mkoa walipo

NB:
Hivi sasa mtu ukizidiwa ghafla kiafya huwezi kujua umpigie dokta gani kuwa ushuri wa kitaalam. Au kama kuna daktarikaribuna unapokaa Au hakuna taarifa inayoweza kakupatikana online kuonyesha hospitali au shule zilizopo wilaya ya kinondoni

Very good idea
 
guys me nipo udom,am nipo gud in animation design,3d modelin n some in c++,java,kama vinaweza kutumika den am in...lets icrease our skills n confidence guys
 
Nina project nafanya sasa na masomo yametinga, na kazi juu, yani ndo maana siku hizi nakuta interesting topics hapa but no time, ila kwa sababu umesema members watakuwa wanakuja kujadili hapa kazi/assignments zao, then itabidi tu niwe mchangiaji mzuri.

By the way, thats a very nice idea.
 
Back
Top Bottom