de fcb1 fan
Member
- May 20, 2013
- 14
- 2
Nimefanikiwa kufikisha kias cha mil 6 nahtaj kufanya biashara na kuwekeza .... I've some ideas ila naamn bila mawazo na ushauri wa watu wengne naweza ncifike mbali ..nahtaj kujifunza kujifunza kupitia ninyi friends nahtaj idea zenu kama ni wewe unakiasi hicho ungeanzisha biashara gan .......kwa mzingira yeyote mjin na kijijin