Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
Kiukweli, leo wana jf naomba tuongee deep zaidi, ni nini hasa kilichosababisha mgogoro wa libya? je walibya wanampinga ghadafi kwa sababu gani hasa? je ni nini kilichochochea machafuko ya libya? je wanaotaka mabadiliko libya ni waaasi au waandamanaji? je ni kufuata mkumbo? na je ni haki ipi hasa wanayoitaka? naomba tuache ushabiki wa kipuuzi na tutoe facts za msingi kama great thnkerz.