MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,028
- 35,145
Mnajidanganyaalikuwa kiwavi jeshi, angalau tumepumua , yeye na Zitto na Arfi lao lilikuwa moja.
Mnajidanganyaalikuwa kiwavi jeshi, angalau tumepumua , yeye na Zitto na Arfi lao lilikuwa moja.
...wacha kupulizia pafyumu mav.!Mnajidanganya
Jamani nyie mbona waongo ivo...mimi nilimuona na kumsikia kw macho yangu mwenyewe kua ametoka cdm na kurudi ccm kabla ata ya ucjaguzi na kabla ya kampeni..sasa leo mnasema katoka jqna ACHENI KUONGOPEA WATU..Nimepata taarifa kutoka kwa mmoja wa rafiki zangu aliyepo Dar es Salaam, ameniambia kwamba Mbunge wa Viti Maalum Chadema, Leticia Nyerere, amehamia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Tangu awali mbunge huyo alisakamwa na maneno mengi kutoka kwa viongozi wa Chadema akiwemo kwamba aachane na ubunge ndani ya Chadema ili ajiunge na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuliko kuendelea kukipigia debe chama hicho akiwa upinzani.
Hata hivyo, mbunge huyo anadaiwa kufanya matendo ya kujipendekeza kwa CCM kabla ya kujiengua na chama chake cha awali.
nini mbona ya zamani sana uchaguzi ulishisha yeye ccm sie cdm tunasonga mbele bila yeyeMnajidanganya