mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,656
​Kwani hajasikia kilichowapata kina Pindi Chanaaa, D. Chilolooo na wenzio kina Shamsa Mwangungaaaaa
Leticia Nyerere kuhamia chadema wamejenga uadui na familia ya Nyerere. watakosa kura za Mkoa Wa Mara kwani Leticia ana nguvu kule.
Leticia Nyerere kuhamia chadema wamejenga uadui na familia ya Nyerere. watakosa kura za Mkoa Wa Mara kwani Leticia ana nguvu kule.
Kwa Leticia hiyo ndo demokrsia....kwa Lowassa kuja Chadema siyo demokrasia?
hilo nalo swali wakujibu mkuu,
Leticia Nyerere kuhamia chadema wamejenga uadui na familia ya Nyerere. watakosa kura za Mkoa Wa Mara kwani Leticia ana nguvu kule.
Leticia Nyerere kuhamia chadema wamejenga uadui na familia ya Nyerere. watakosa kura za Mkoa Wa Mara kwani Leticia ana nguvu kule.
Ndugu yangu Leticia nyerere alikuwa Mke wa kaka yake Makongoro Nyerere ambaye walishachana miaka 15 iliyopitaNimepata taarifa kutoka kwa mmoja wa rafiki zangu aliyepo Dar es Salaam, ameniambia kwamba Mbunge wa Viti Maalum Chadema, Leticia Nyerere, amehamia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Tangu awali mbunge huyo alisakamwa na maneno mengi kutoka kwa viongozi wa Chadema akiwemo kwamba aachane na ubunge ndani ya Chadema ili ajiunge na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuliko kuendelea kukipigia debe chama hicho akiwa upinzani.
Hata hivyo, mbunge huyo anadaiwa kufanya matendo ya kujipendekeza kwa CCM kabla ya kujiengua na chama chake cha awali.
Leticia Nyerere kuhamia chadema wamejenga uadui na familia ya Nyerere. watakosa kura za Mkoa Wa Mara kwani Leticia ana nguvu kule.
Kweli nimeamini hakuna anayemwamini Zitto Kabwe.Said Arfi kagoma kwenda ACT,Shibuda hataki kusikia jina la Zitto huyu bi Pekupeku Leticia karudi nyumbani sasa wale wabunge 50 aliodai watajiunga ACT walikuwa ni maruani au majini ya Kigoma Mwandiga.
Bora umekimbia mafisadi ya Chadema
Mkuu soma tena kichwa cha habari vizuri.Leticia Nyerere kuhamia chadema wamejenga uadui na familia ya Nyerere. watakosa kura za Mkoa Wa Mara kwani Leticia ana nguvu kule.