Leticia Nyerere atimkia CCM

Leticia Nyerere atimkia CCM

Nimepata taarifa kutoka kwa mmoja wa rafiki zangu aliyepo Dar es Salaam, ameniambia kwamba Mbunge wa Viti Maalum Chadema, Leticia Nyerere, amehamia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Tangu awali mbunge huyo alisakamwa na maneno mengi kutoka kwa viongozi wa Chadema akiwemo kwamba aachane na ubunge ndani ya Chadema ili ajiunge na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuliko kuendelea kukipigia debe chama hicho akiwa upinzani.

Hata hivyo, mbunge huyo anadaiwa kufanya matendo ya kujipendekeza kwa CCM kabla ya kujiengua na chama chake cha awali.

Good riddance Leticia; japo umekawia sana, you never belonged to the revolutionary train; nashangaa kwa nini hakuenda TADEA; afterall birds of the same feather fly together; JOHN MAGALLE SHIBUDA !!!
 
Good riddance Leticia; japo umekawia sana, you never belonged to the revolutionary train; nashangaa kwa nini hakuenda TADEA; afterall birds of the same feather fly together; JOHN MAGALLE SHIBUDA !!!

Ni sahihi kabisa!!! Kama ambavyo imekuwa sasa kati ya SLAA...MBOWE...VS LOWASA wanaruka pamoja simply wote ni WATAKA MADARAKA IWE MCHANA AU USIKU NA KWA NJIA YOYOTE IWE KWA DAM AMA KWA MAJI
 
hakuna mtoto wa nyerere anaeitwa leticia hyo tapeli wa kisiasa
 
Anyways, tusigombane kwa maneno makali jamani. Tufanye hivi, katika kuelekea kufungwa kwa msimu wa usajiri CHADEMA wamekaa na CCM wakakubaliana kubadirishana wanasiasa.

Hivyo makubaliano yalikua hivi; CCM walishinikiza kwamba, ili waweze kumpata Easter Bulaya, James Lembeli na Edward Lowasa itabidi CHADEMA wakubali kumuachia Leticia Nyerere, na CHADEMA haikuwa na jinsi zaidi ya kukubaliana na masharti hayo ya CCM.

Mnaonaje hapo, is the question solved?
 
Hana jipya yupoyupo tu kama mzogo Sikuona mchango wake bungeni hadi linavunjwa
 
Ndugu yangu Leticia nyerere alikuwa Mke wa kaka yake Makongoro Nyerere ambaye walishachana miaka 15 iliyopita
. Kumbuka Juzi tu. Makongoro alimwambia Leticia Aache kutumia jina la nyerere kwa sababu undugu wao ulishakufa miaka 15 iliyopita.alimshauri atumia jina la Mume wake wa sasa.

Political capital kwa huyo Leticia kutumia jina la Nyerere.
Hana lingine lolote analofanya
 
Namsikiliza Leticia nyerere EATV kwenye kipindi cha hotmix nimeshindwa kumtofautisha na mtoto wa darasa la pili😕
 
Back
Top Bottom