Dear Doctor,
Je tatizo la kutojisikia hamu ya kufanya mapenzi mara kwa mara kwa wanawake husababishwa na nn? Je kuna dawa yoyote ambayo itamsaidia mwanamke kuwa na hamu ya sex?
Nina jirani yangu mtoto wake kucha za mikononi hazikui kabisa mwezi wa sita sasa kucha zake hazijawaikatwa na hazionekani kukua ingawa za miguuni zinakua na zinakatwa. Shida yake inaweza ikawa ni nini ndugu mtaalamNapenda kuwa julisha wana JF kuwa nakaribisheni maswali mafupi mafupi yanayohusu tatizo lolote la kiafya.Maswali yote yatajibiwa mara moja kwa wiki iwe ni tatizo ulilonalo wewe binafsi au ndugu,jirani,rafiki au mtu yeyote unayemfahamu,Kumbuka yawe mafupi ili watu wengi zaidi wapate nafasi ya kushauriwa na mimi.Nitakupa ushauri kadri ninavyoweza.Usiwe na wasiwasi niko ktk profession hii