M mjasiria JF-Expert Member Jan 10, 2011 4,156 1,850 Sep 16, 2011 #21 kwa kwa kwa kwiiiiiiiiii yaani nimecheka hadi chozi limetoka, kweli duniani viroja havitaisha.
Ndechumia JF-Expert Member Jul 15, 2011 1,103 420 Sep 16, 2011 #22 Mi nataka serikali ya magamba ijiuzulu, ukiweza hilo mi ntakuona wa maaana
Al shabab Member May 21, 2011 71 6 Sep 16, 2011 Thread starter #23 mmeni quote vibaya,in my introductory thread above,there is no part of it where i appear calling myself mganga, USILOLIJUA....... Kaeni na shida zenu.
mmeni quote vibaya,in my introductory thread above,there is no part of it where i appear calling myself mganga, USILOLIJUA....... Kaeni na shida zenu.
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,193 Sep 16, 2011 #24 Nina tatizo la kuingia jf kila siku hasa MMU. Nahitaji msaada wako al shabab tatizo hilo liishe. Natanguliza shukrani.
Nina tatizo la kuingia jf kila siku hasa MMU. Nahitaji msaada wako al shabab tatizo hilo liishe. Natanguliza shukrani.
MESTOD JF-Expert Member Nov 12, 2010 4,798 2,004 Sep 16, 2011 #25 daughter said: Nisaidie kupoteza CCM kutoka kwenye hii ramani ya dunia Click to expand... Daughter tupo pamoja. Tena hata wale wanaoamini bado inapendwa wapotezewe.
daughter said: Nisaidie kupoteza CCM kutoka kwenye hii ramani ya dunia Click to expand... Daughter tupo pamoja. Tena hata wale wanaoamini bado inapendwa wapotezewe.