Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Usichoke kutoa sifa Asha; usipomsifu wewe ataja pata wa kumsifu akusahau. Mimi nasifia tu hata kinafiki.
Fake it until you can really make it,..
sio kila anae lia anafurahia kweli,...anajifunza kitu
sio kila sms ya i miss you ina maanisha hivo,...ana jifunza ku-care/ana timiza wajibu,...
sio kila sms ya nakuwaza sana ina maanisha hivo,....anataka kuonesha yupo pamoja nawe,...
Fake it,fake it,fake until its real haha