Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Hamnaga usela wa ME na KE labda kwa ndugu.

Inaanza urafiki Alafu siku moja moja tuna naniliiu kidogo.

Ila we ni mama tamu wangu na utamu unao ww.


Mi Nakupenda asee siwezi kuku friendzone I'm sorry mama tamu 😍😘
Em nishawishi kwanza😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom