1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 438
- 1,752
Nawaambia kabisa viongozi wa Simba kama Jamhuri wangekuwa na quality kidogo tu kesho asbh tulikuwa tunarudi Dar es salaam, mchezo leo ulikuwa mgumu sana na kwa pira lile leo kama tungecheza tu na hata Ihefu tungerudi nyumbani.
Jamhuri walipata sapoti kutoka kwa jamaa zetu waliopigwa mabao 3-1 jana, sasa nawakumbusha keshokutwa ni Simba vs Singida, Yanga, Azam.
Kazi ipo
Jamhuri walipata sapoti kutoka kwa jamaa zetu waliopigwa mabao 3-1 jana, sasa nawakumbusha keshokutwa ni Simba vs Singida, Yanga, Azam.
Kazi ipo