Leo Wifi atajibeba...

HAKI HUWA HAILILIWI INADAIWA!
ahaahahahahaha akawatumie salamu na wenzie!
SIPATI PICHA kifuatacho ITV baada ya kaka kutoka kurudisha dadaake nyumbani!
ehehhehhehe hii no need ofu feedback!
watu wana:yell: saaaaaana!!!!
 
mwe hii ngoma utaweza kuicheza ....?
 
Hii ngoma nagwa mpendwa... Nawamudu hao ndugu lawama...
 
HAKI HUWA HAILILIWI INADAIWA!
ahaahahahahaha akawatumie salamu na wenzie!
SIPATI PICHA kifuatacho ITV baada ya kaka kutoka kurudisha dadaake nyumbani!
ehehhehhehe hii no need ofu feedback!
watu wana:yell: saaaaaana!!!!

Unajua hawa mbwiga wananichukuliaga poa... Nnavyokaaga kimya wananionaga mi ----- nazi... Wamemwaga mboga na mi namwaga ugali... Sasa hivi hakuna maneno ni vitendo tu.
 
hapo itategemea na mumewe yukoje....kama mume anafwata mila na anamkuta dada yake chumbani anaweza kugeuziwa kibao mke......

Kapigiwa simu... Tunaitwa kwao kuna kikao.
 
Duuh!kuna watu mna waume wapole hadi raha!
Me huyu mkurya wangu si angenitoa maini!
 

hahahaaaaa!!hii kali kuliko lolz!!
wifi kapatikana na alale na kaka ake
kama anaweza nyoooooh zao!!
 
sasa litakalojiri kakake akija itabd pia utujuze .............................
 
Tena mpaka ajambe kama unavofanyaga ww kwa kk ake,anafikiri mimba ni kiberiti kila nyumba kipo.....teh teh...tuone kama atapata mimba.
 
Kwanza ni kupe pole kwa kukosa mtoto, japo hujaweka wazi kama imethibitika tatizo nilako au la. ulicho kifa kwa wifio, ni adhabu uliyoipanga na huenda ni mpango ulio ratibiwa na mtu mwingine lakini akakupa uutekeleze. naomba uelewe kuwa katika kutatua tatizo unaweza kusababisha tatizo jingine likawa kubwa kuliko la wali.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…