Katika mambo yanayonesha dhihaka kwa mwenyezi Mungu ni kutoishi mafundisho ya kristo na kuwa wanafiki na wenye dhihaka kwa kristo . Ijumaa kuu inatukumbusha kifo cha bwana wetu yesu kristo baada ya safari ya mateso makubwa.lakini cha kushangaza baadhi yetu tunawafanyia wenzetu mateso makubwa kwa chuki kama za mayahudi kwa yesu na bado Leo ijumaa kuu tutawahi viti vya mbele ibadani.
Mungu awalipe kwa kadri ya matendo yenu.
Mungu awalipe kwa kadri ya matendo yenu.