Ukilewalala
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 542
- 1,105
"Hivi mama mwenye nyumba ndio nini kunipeleka kisarawe kulima, wakati nimeshapazoea kibada??
Jamani mwenzenu nishakamilisha ujenzi wa kibanda changu huko chanika hivo mwezi ujao nahamia kwanguView attachment 1734209
Jamani mwenzenu nishakamilisha ujenzi wa kibanda changu huko chanika hivo mwezi ujao nahamia kwanguView attachment 1734209
mkuu kwani lazima umtaje mke wangu huku
@mama D ndio angefaaShunie mama mwenye nyumba wapangaji wako wanakuita huku
Siku napiga chabo tu maana nilikua macho.
Vibaka wanaingiza ndoano lao lile waivue simu ilikua kitandani na inaonekana maana tv ilikua on.
Sasa ile lile ndoano linakaribia kunasa simu nikalinasa mimi bana vuta ndani kwa nguvu zote naskia nje uko brother achia basi mi ndo nikaendelelea kulivuta ndani kwa nguvu zote.
Wale mateja sijui walijifunga kiunoni ama shingoni.
Bana badae sijui walijiokoa vipi wakatoka baru balaa wakaniachia lindoano lao la kuvua simu.
Hiyo Mwananyamala mitaa ya daladala camp miaka hiyo au garage mchangani.
HahahahahahaJamani huu sio ustaarabu nani katupa kondomu zake huku chooni zinavuja mabaoView attachment 1733529
Kwani si tulikubaliana kunipa mboga ni jukumu lako?😂Joanah wangu,kwa ninavyoujua huu ulimi wangu 😅😅😅amini I siamini nikiamua kuutumia effectively huchomoi lazima unipe😅😅
Halafu mambo gani haya ya kuaibishana umeyaanza...mbona wewe unapikaga ugali mboga unategemea kwangu!au unafikiri nimekusahau eee😅😅
Mzima lkni kipenzi...umekuwa adimu sana now days