Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,987
Mama acha ukudaaa...kuna mtu alizikwa na nyumbaa!!!hahaaaaNyie wapangaji wa kiume mbona mnabadilisha sana wanawake
Ndio maana huwa sipendi wapangaji ambao hawana familia hapa kwangu kwa nini usitafute mwanamke mmoja ukatulia nae
Mkataba wenu kila mmoja ukiisha siwahitaji hapa kwangu