wadau poleni kw harakati za maandaliz ya maandamano ya nchi nzima kupinga den la dowans,kwetu mabango tayar. .
Namshukuru MUNGU mwingi wa rehema kwa kuniacha mpaka leo siku ya kuzaliwa. .kwangu ni neema tu. .pia nawapongez wote waliozaliwa siku ya leo!
Nilzaliwa siku kama ya leo pia, miaka kadhaa iliyopita. Leo pia tunasherehekea Global Handwashing Day na theme ya mwaka huu ni '' Clean Hands saves Life''