Leo nisipokufa basi sifi tena

Leo nisipokufa basi sifi tena

Baba neema ni mimi jirani yako, naomba usije niko gesti na mama neema tunafanya usafi
 
hivi unawezaje kumshauri huyu mtu,badala ya ku act anakuja jf afu moyo unamuenda mbio teh teh teh. low thinking
 
Yaani we ukapimwe akili, sasa unasubiri nini hapo , haya subiri uletewe mtoto wa mchepuko maana wake siku hizi wanachepuka hadi kuzaa nao kabisa
 
We jamaa vipi....! Yaani jipu limeiva unashindwa kulitumbua kweli! Sibiri wewe uje utumbuliwe sababu nawe kumbe ni jipu tena kubwa tu.
 
Humu ndani kila cku kuna watu wanaumiza vichwa walete thread gani itakayokuwa na comments nyingi, huyu mleta thread hii ni mmoja wao#
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom