Leo nisipokufa basi sifi tena

Leo nisipokufa basi sifi tena

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,316
Reaction score
4,184
Ndani ya muda huu rafiki yangu ameniletea taarifa kwamba mke wangu mama Neema ananisaliti ndani ya gesti moja mjini mwanza.
Rafiki yangu ameniambia kamuana akiingia gesti na jamaa mmoja ambaye ni jirani yetu anayefanya kazi Tanesco.
Nimejalibu kumpigia sim mke wangu mama neema anasema yupo mabatini kwa dada yake anaumwa.
Rafiki yangu ananilazimisha twende kwenye hiyo gesti tukafumanie.
Kwakweli nimechanganyikiwa sana mapigo ya moyo yamebadilika.
Wadau busara ni nini hapa niende gesti au nisiende? Maana hata sielewi kabisa
 
Duuuh!... Hata hili unaomba ushauri JF?
 
Hebu itaje hiyo Guest House watu wajue maana huenda "mdunguaji" ni member wa JF hivyo atashtuka na kukimbia na kukuepushia matatizo yanayoweza kukutokea ukimkamata.
 
Usitoe hukumu kwa kuhisi, Fanya uchunguzi ili uamuzi wako upewe uzito na ushahidi uliouona kwa macho yako mwenyewe, pole mkuu
 
JF is loosing Standards...
 
Nenda kajionee jipe nguvu maana atajudabganya akirudi nyumbani na dada yake atakudanganya pia wahi haraka na muonyeshe umemuona msubirie kabisa
Bora kujionea pole.
 
Nahitaji kwenda na siraha yoyote ile maana huku ni kubaya. mapenzi yanauma jamani
 
Khaaaa! Kichwa cha habari kizitoo halafu habari yenyewe nyepesiiiii!
 
wanasaikolojia wanakwambia katika vitu 20 ambavyo humfanya mwanadam awe na furaha,mapenzi au kuwa na mpenzi ni kitu cha 18.tafuta hela,wanawake wapo tu
 
Kama umechagua kufa. ..kesho watu wanaanza kula mchele nyumban kwako na Neema atalelewa na Jamaa wa Tanesco
 
Ndani ya muda huu rafiki yangu ameniletea taarifa kwamba mke wangu mama Neema ananisaliti ndani ya gesti moja mjini mwanza.
Rafiki yangu ameniambia kamuana akiingia gesti na jamaa mmoja ambaye ni jirani yetu anayefanya kazi Tanesco.
Nimejalibu kumpigia sim mke wangu mama neema anasema yupo mabatini kwa dada yake anaumwa.
Rafiki yangu ananilazimisha twende kwenye hiyo gesti tukafumanie.
Kwakweli nimechanganyikiwa sana mapigo ya moyo yamebadilika.
Wadau busara ni nini hapa niende gesti au nisiende? Maana hata sielewi kabisa

Acha uongo bana. Eti mapigo ya moyo yamebadilika, eti maana hata sijielewi. Hujielewi lakini unaweza andika maelezo yote haya. Kwenda zako kule muongo mkubwa weeeee. Aiiiibu yako, hata wewe!
 
Nenda ka hakikishe kwa macho yako then usifanye fujo kinachotakiwa mkeo atambue umejua na umemuona kisha akirudi nyumbani we endeleza mapenzi kama kawaida usionyeshe tofauti yoyote kama ana akili timamu ataondoka mwenyewe bila kuaga.kama utaamua kumrudisha mama watoto wako hiari yako,maana mapenzi ni upofu pole mmkuu.
 
Nani humu ndani hajawahi kuumizwa na mapenzi na anyooshe kidole
 
Kuna siku utagegedwa then uje hapa kuomba ushauri. Kuna mambo mengine so ya kuomba ushauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom