Leo Nina NiIni?

Leo Nina NiIni?

Chemwali

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2011
Posts
397
Reaction score
178
Yaani leo niko very very low,out of mood yaani acheni tu...mwenye kuweza kuibadili hii mood yangu anisaidie
 
jamani wajina wangu nini tena? Hiyo mood dawa yake ndogo sana
waalike marafiki wawili, aangalia a romantic comedy, kula chocolate.
Mi nikiwa hivo nawatafuta Aunties zangu ( AshaDii na King'asti)
 
Last edited by a moderator:
hahaha, yaani uanze tu kuwa moodless? nani kasema?
Missings kibaaao ujue. Nna mpango wa kuwa moodless friday:suspicious:, fanyeni mpango wa kuni_un-moodlise (is this english?)

jamani wajina wangu nini tena? Hiyo mood dawa yake ndogo sana
waalike marafiki wawili, aangalia a romantic comedy, kula chocolate.
Mi nikiwa hivo nawatafuta Aunties zangu ( AshaDii na King'asti)
 
hahaha, yaani uanze tu kuwa moodless? nani kasema?
Missings kibaaao ujue. Nna mpango wa kuwa moodless friday:suspicious:, fanyeni mpango wa kuni_un-moodlise (is this english?)

That is english bana.. si tumeelewa? usijali.
Kuna flatscreen na ice cream kwako? lol
 
tafuta threads za manoah humu.............
 
Last edited by a moderator:
Have a baby
Have a baby by me, baby! Be a millionaire
Have a baby by me, baby! Be a millionaire
Have a baby by me, baby! Be a millionaire
Be a millionaire, Be a, Be a millionaire
Have a bab


what the f@#%^&...........huyu aliyeuimba huu wimbo yu wapi now!?
sikushauri!!! imba za Jay -Z angalau utapataga na mke mrembo akununulie kandege kama kale ka bilionea wa arusha
 
duuu... Billioneir wa arusha ni feki feki hata si watamanii... ndio maana wanakufa hovyo hovyo...
I can't see 'em comin down my eyes
So I gotta make the song cry
I can't see 'em comin down my eyes
So I gotta let the song cry
I know I seen 'em comin down your eyes
But I gotta make the song cry
I can't see 'em comin down my eyes
So I gotta make the song cry

what the f@#%^&...........huyu aliyeuimba huu wimbo yu wapi now!?
sikushauri!!! imba za Jay -Z angalau utapataga na mke mrembo akununulie kandege kama kale ka bilionea wa arusha
 
Mtoa mada na wanaochangia nao haijulikani walikua na nin..!
 
Back
Top Bottom