Viva89
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 1,262
- 530
Habari zenu wapendwa,
Yaani mimi mwenzenu leo sijui nina tatizo gani, kila mtu leo ananikasirisha, hata sielewi ni nini, sijui watu wameamua kunijaribu?!. Halafu kibaya zaidi kila kitu leo kimeenda ovyo toka asubuhi hadi sasa hivi. Yaani hasira ya almost siku nzima, yani one of those really bad days ndio am facing leo. Mungu anisaidie nilale hata na amani, au na kasmile hata kidogo.
Its a really bad Monday for me.
Yaani mimi mwenzenu leo sijui nina tatizo gani, kila mtu leo ananikasirisha, hata sielewi ni nini, sijui watu wameamua kunijaribu?!. Halafu kibaya zaidi kila kitu leo kimeenda ovyo toka asubuhi hadi sasa hivi. Yaani hasira ya almost siku nzima, yani one of those really bad days ndio am facing leo. Mungu anisaidie nilale hata na amani, au na kasmile hata kidogo.
Its a really bad Monday for me.