Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,602
- 112,658
We huwa haununui juice, apple, na mazaga?๐Kila mtu wa kishua humu maskini utajikuta wewe tu ๐
We huwa haununui juice, apple, na mazaga?๐Kila mtu wa kishua humu maskini utajikuta wewe tu ๐
Hawajifunzi tu? Nilikimbia mmoja Bliss Hotel, aliweka picha nyingine kabisa, pumbav zakeHalafu wengi hawaweki picha zao
Njoo nikufunze, Nina wanafunzi kama hao wa kutestia mitambo๐๐๐ niwe mganga sijui
Utanivunja miguu mkuu kwa pressure ๐๐๐Njoo nikufunze, Nina wanafunzi kama hao wa kutestia mitambo
Hahahaha you're disqualifiedutanivunja miguu mkuu kwa pressure ๐๐๐
sipati picha nikianza training kama hao dah! nitawaharibu sanaaa
Maana msema kweli mtu wa maana sana, maana wangetumika na hakuna shimo ambalo lingebaki salama ๐ฅท๐ฅท๐ฅทHahahaha you're disqualified
Ila jf kumejaa waongo, kila anaekuaga na appointment huwa anaenda supermarket kununua juice, matunda na mazaga
Lini unaendae supa maketi ununue juice za box, maapple, chocolate na mazaga....๐๐๐Tupe break basi
Nimefungwa king'ora hapa, siwezi kwenda huko kwa dhumuni la mada hii.Lini unaendae supa maketi ununue juice za box, maapple, chocolate na mazaga....
Ila humu uongo mwingi
Wasikutishe haoo, njoo bhn mazaga bado yapoo...Nimepokea vitisho....kuwa umekunywa energy drink possible na unga unga umepaka, kuku asijenisababishia matatizo, ahsante.
Hahahhaha nanunua pizza kapiyoca na tikeno muskino tacos ๐ mixa ma tequillaWe huwa haununui juice, apple, na mazaga?๐
Hahaha kumbe kila mvulana lijali imempata hii....nakumbuka nililipia lodge 15,000. Namsubiri moureen wangu atokeee....kaniacha kwenye mataa.....Bro mi nililipia hadi room ya g.house dem hakuja na sim hakupokea, siku nyingine tu eti anasema alipata ajali ya bodaboda hadi kuzimia baada ya kupigiza kichwa kwenye lami cha ajabu hadi leo sijawahi kuona kovu wala aliposhonwa konyo kabisa hawa
Siku ukinunua asipotokea nishtue nije kula....mi napenda mazagaHahahhaha nanunua pizza kapiyoca na tikeno muskino tacos ๐ mixa ma tequilla
Kama utakamilisha na ratiba zingine haina shakaSiku ukinunua asipotokea nishtue nije kula....mi napenda mazaga