Leo nimetembelea Addis Ababa

mkuu ulifaidi sana,alikupa namba?

hapana na hilo na mimi nilifanya vizuri saana maana mambo ya kuomba namba haya tofautiani na umatonya wa dada zetu,,kiasi flan unakua umejishusha..unless kama angeniomba
 

Astaghafillurah swaumuuu yng mieee
 
Last edited by a moderator:
Mwezenu hadi natamani kupiga puu baada ya kuwaona hao madada!! Pichani walivyoniangalia utadhani wananiita..... Halloo Ng'wanapagi!!!!
 
wana gdp kubwa kuliko bongo tatizo wako wengi sana..
 
Nahapa sitaki tena mademu wa kibongo....nawaachia wanigeria tu wawachezee na kuwatumia. Najiendea Adis!
 
Samples...
 

Attachments

  • 1435667439369.jpg
    8.3 KB · Views: 276
  • 1435667454977.jpg
    8.9 KB · Views: 381
  • 1435667464767.jpg
    74 KB · Views: 719
  • 1435667484763.jpg
    7.1 KB · Views: 283
  • 1435667502922.jpg
    6.9 KB · Views: 439
Culture aliimba there is a land, far far away, its called Addis Ababa. Jana nimeona wamezindua telescope ya anga za juu. Watafika mbali hawa jamaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…