Kujenga nyumba ni dalili za uoga wa maisha.Na huo uzee wote bado umepanga? Mzee wa hovyo
Hii kazi nimewahi fanya when i was 14 ilinifanya nijue kupigana kingese sio kwa kunyanyaswa kule na wakubwa 😭😭😭
ichukue hapo kwenye manyonyo 😅😅😅Ebu naomba namba yake mkuu....🤭
Nenda stendi za mabasi ukaone wazee wenzako wanavo pigwa baridi njeKujenga nyumba ni dalili za uoga wa maisha.
Pole sana budaHii kazi nimewahi fanya when i was 14 ilinifanya nijue kupigana kingese sio kwa kunyanyaswa kule na wakubwa 😭😭😭
buda hali si shwariMvua Ilula hapa
Nimemtua aje amfariji jirani yako 😊😊Nawewe utazeeka tu mazeee...😒
Waambie wavae makoti.Nenda stendi za mabasi ukaone wazee wenzako wanavo pigwa baridi nje
Inshallah ndo mana nime mjibu huyu jamaa anapuuzia kujenga, kama MUNGU anakujalia Jenga Mzee, kukosa makazi Kuna maumivu sana uzeeniNawewe utazeeka tu mazeee...😒
Haha, Changamoto ni matumizi ya maji ya battery.Usisikituke mkuu, maisha ndio haya and enjoy to the fullest
Ni mchawi kwel maana aliyefanya hivyo ni mchawi na mambo ya kikeNafasi niliyo acha hapo juu ni kwaajili ya salamu nikimaliza kuandika uzi.
Sasa......
Huyu piss ni mpangaji mwenzangu, kila jumapili yeye anakuaga mapumziko na haendi kazini.
Kilicho nikwaza ni kila anapokua mapumziko anaanika chupi zake kwenye kamba yote hasi inajaa, yaani sijui hua anavaa ngapi kwa siku aiseeee....
Sasa namimi jumapili hua napumzika marachache kama nikilewa sana juma mosi (jana yake).
Sasa leo nilikua nimetoa nguo zangu nifue, maraghafla akatoka ndani kaanzq kuanika chupi kamba nzima aiseee....🫤
Mie nikaingia ndani nikawazaaaaa nikapata wazo maana hizo chupi zake zinani fanya nipate ham ya kunanii kila akizitandaza kwenye kamba mazeee...😋
Nikicho kifanya..... nikasubiri ametoka kwenda sokoni nikazama ndani nikachukua maji ya betri, nikaenda kunyunyiza juu ya kamba yooote na nguo zake kisha nikaingia ndani nikarudisha nguo zangu zikiwa hazijafuliwa kisha nikaondoka zangu kwenda kukata gambe....🍺
Ndio nimerudi saizi nimemkuta analia ananiita jirani.... kuna mchawi ameangalia nguo zangu kwa jicho baya zooote zimekatika kama zimetafunwa na panya...😜
Nilicho kifanya ni kumpa pole, nimezama geto niandike uzi....🤨
MADHARA ya udomo zegeNafasi niliyo acha hapo juu ni kwaajili ya salamu nikimaliza kuandika uzi.
Sasa......
Huyu piss ni mpangaji mwenzangu, kila jumapili yeye anakuaga mapumziko na haendi kazini.
Kilicho nikwaza ni kila anapokua mapumziko anaanika chupi zake kwenye kamba yote hasi inajaa, yaani sijui hua anavaa ngapi kwa siku aiseeee....
Sasa namimi jumapili hua napumzika marachache kama nikilewa sana juma mosi (jana yake).
Sasa leo nilikua nimetoa nguo zangu nifue, maraghafla akatoka ndani kaanzq kuanika chupi kamba nzima aiseee....🫤
Mie nikaingia ndani nikawazaaaaa nikapata wazo maana hizo chupi zake zinani fanya nipate ham ya kunanii kila akizitandaza kwenye kamba mazeee...😋
Nikicho kifanya..... nikasubiri ametoka kwenda sokoni nikazama ndani nikachukua maji ya betri, nikaenda kunyunyiza juu ya kamba yooote na nguo zake kisha nikaingia ndani nikarudisha nguo zangu zikiwa hazijafuliwa kisha nikaondoka zangu kwenda kukata gambe....🍺
Ndio nimerudi saizi nimemkuta analia ananiita jirani.... kuna mchawi ameangalia nguo zangu kwa jicho baya zooote zimekatika kama zimetafunwa na panya...😜
Nilicho kifanya ni kumpa pole, nimezama geto niandike uzi....🤨