Bi zandile
JF-Expert Member
- Sep 12, 2024
- 459
- 1,152
- Thread starter
- #41
Nilichokifuata huku nimekiandika au hujasoma?Kwanza tuambie umefuata nini huku maana umbea wa facebook hatutaki.
Rudia kusoma utaona kilichonileta
Nilichokifuata huku nimekiandika au hujasoma?Kwanza tuambie umefuata nini huku maana umbea wa facebook hatutaki.
Thank you uncleWelcome Aunt
Ndiyo itakuwa vizuri...Acha kuomba omba namba, ipo siku utapewa namba ila ni za mganga wa kienyeji.
Je,umejiunga naHabari zenu gentlemen & ladies, ikiwa unafurahia kupokea wageni wapya hapa jamiiforums basi naomba unikaribishe kwa kunipa like na nasaha zako, nimekuja kuongeza maarifa hapa.