Leo nimebaguliwa na Wahindi

Leo nimebaguliwa na Wahindi

Status
Not open for further replies.

Mr.mzumbe

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
1,062
Reaction score
1,065
Habari,

Leo mida ya saa tisa hivi, nilikuwa Ahaad apartment(Morogoro rd/Libya street) floor X. Nilipomaliza kazi zangu nikabonyeza lift ili niweze kushuka ground floor, kipindi naingia kwenye lift kuna mdada wa kibongo (alikuwa amevaa vizuri tu) alikuwa anashuka na humo ndani walikuwa wahindi wawili wanawake wamebana pua.

Mara ya kwanza nilifikiri labda wanabana pua zao kwasababu zao binafsi. Kumbe sababu yao ilikuwa ni sisi waswahili tuliopanda ndani ya lift tulikuwa tunanuka!!!! Kwakweli nilijisikia vibaya sana, kwa hiko kilichotokea.

Nina uhakika asilimia mia kabisa mimi na hata wale abiria wenzangu(waswahili) tulikuwa hatuniki hata kidogo ila ni ubaguzi uliopitiliza. Kweli nipo kwenye ardhi yangu ya Tanzania lakini bado nabaguliwa!!!!!??!!! Hawa watu ipo dawa yao inashemka tu, ipo siku watakuja kutuheshimu sisi waswahili.

Poleni sana watanzania wenzangu ambao hamumalizi siku moja bila ya kunyanyaswa na wahindi.
 
Sijui ni lini mgombea wa Urais atakuja na sera ya kuwakimbiza hawa wapuuzi. Atapata kura nyingi sana. Wakati mwingine nawachukiaga UKAWA bure tu ila UKAWA wakiichukua hii nchi hao Wahindi wataipata habari yao. Kuna baadhi ya watu wakubwa wanawapa vichwa hawa watu kwasababu ya rushwa.
 
Habari,

Leo mida ya saa tisa hivi, nilikuwa Ahaad apartment(Morogoro rd/Libya street) floor X. Nilipomaliza kazi zangu nikabonyeza lift ili niweze kushuka ground floor, kipindi naingia kwenye lift kuna mdada wa kibongo (alikuwa amevaa vizuri tu) alikuwa anashuka na humo ndani walikuwa wahindi wawili wanawake wamebana pua.

Mara ya kwanza nilifikiri labda wanabana pua zao kwasababu zao binafsi. kumbe sababu yao ilikuwa ni sisi waswahili tuliopanda ndani ya lift tulikuwa tunanuka!!!! Kwakweli nilijisikia vibaya sana, kwahiko kilichotokea.

Ninauhakika asilimia mia kabisa mimi na hata wale abiri wenzangu(waswahili) tulikuwa hatuniki hata kidogo ila ni ubaguzi uliopitiliza kwa hawa Washenzi wa kihindi. Kweli nipo kwenye ardhi yangu ya tanzania lakini bado nabaguliwa!!!!!??!!! Hawa watu ipo dawa yao inashemka tu, ipo siku watakuja kutuheshimu sisi waswahili.

Poleni sana watanzania wenzangu ambao hamumalizi siku moja bila ya kunyanyaswa na wahindi.

wewe Ni ------!

 
Sijui ni lini mgombea wa Urais atakuja na sera ya kuwakimbiza hawa wapuuzi. Atapata kura nyingi sana. Wakati mwingine nawachukiaga UKAWA bure tu ila UKAWA wakiichukua hii nchi hao Wahindi wataipata habari yao. Kuna baadhi ya watu wakubwa wanawapa vichwa hawa watu kwasababu ya rushwa.

Suala la kunyanyapaliwa lisitafsirike kisiasa maana hakuna ushahidi wa kumtia hatiani watu kama hao wahindi kwa kitendo chao cha kuwabania pua waswahili,
Watu kama hao ni kuwapuuza tu au kuwaonesha kivitendo kwamba sisi sio wa hadhi yao, maana kwa rushwa ilivyo hapa bongo ukiuliza tu kwanini wanawabania pua mnaweza kuwekwa sero kwa kuambiwa kuwa mmewatukana wageni, au kutaka kuwaibia.
 
Habari,

Leo mida ya saa tisa hivi, nilikuwa Ahaad apartment(Morogoro rd/Libya street) floor X. Nilipomaliza kazi zangu nikabonyeza lift ili niweze kushuka ground floor, kipindi naingia kwenye lift kuna mdada wa kibongo (alikuwa amevaa vizuri tu) alikuwa anashuka na humo ndani walikuwa wahindi wawili wanawake wamebana pua.

Mara ya kwanza nilifikiri labda wanabana pua zao kwasababu zao binafsi. kumbe sababu yao ilikuwa ni sisi waswahili tuliopanda ndani ya lift tulikuwa tunanuka!!!! Kwakweli nilijisikia vibaya sana, kwahiko kilichotokea.

Ninauhakika asilimia mia kabisa mimi na hata wale abiri wenzangu(waswahili) tulikuwa hatuniki hata kidogo ila ni ubaguzi uliopitiliza kwa hawa Washenzi wa kihindi. Kweli nipo kwenye ardhi yangu ya tanzania lakini bado nabaguliwa!!!!!??!!! Hawa watu ipo dawa yao inashemka tu, ipo siku watakuja kutuheshimu sisi waswahili.

Poleni sana watanzania wenzangu ambao hamumalizi siku moja bila ya kunyanyaswa na wahindi.

Kuna watu wananuka kama beberu hata deodorant madukani wanadhani ni za urembo hawanunui hata siku moja.

Haiwezekani mtu umenyuka uturi wako wa maana halafu mtu azibe pua, nakataa kabisa.
 
Habari,

Leo mida ya saa tisa hivi, nilikuwa Ahaad apartment(Morogoro rd/Libya street) floor X. Nilipomaliza kazi zangu nikabonyeza lift ili niweze kushuka ground floor, kipindi naingia kwenye lift kuna mdada wa kibongo (alikuwa amevaa vizuri tu) alikuwa anashuka na humo ndani walikuwa wahindi wawili wanawake wamebana pua.

Mara ya kwanza nilifikiri labda wanabana pua zao kwasababu zao binafsi. kumbe sababu yao ilikuwa ni sisi waswahili tuliopanda ndani ya lift tulikuwa tunanuka!!!! Kwakweli nilijisikia vibaya sana, kwahiko kilichotokea.

Ninauhakika asilimia mia kabisa mimi na hata wale abiri wenzangu(waswahili) tulikuwa hatuniki hata kidogo ila ni ubaguzi uliopitiliza kwa hawa Washenzi wa kihindi. Kweli nipo kwenye ardhi yangu ya tanzania lakini bado nabaguliwa!!!!!??!!! Hawa watu ipo dawa yao inashemka tu, ipo siku watakuja kutuheshimu sisi waswahili.

Poleni sana watanzania wenzangu ambao hamumalizi siku moja bila ya kunyanyaswa na wahindi.

Mkuu kwanza pole sana! Ila Mkuu hautakuja kupata mtu Wa kulamba vibao maishani mwako kama hiyo bahati umeiachia! Hakika hutaipata tena! Yaani hapa ningekuwa narukaruka kama ungeripoti kwamba Leo nimezaba vibao wahindi WAWILI!! Au Mkuu kweli ulikuwa unanuka? Maana mwenyewe huwezi kujisikia kwa vile huwa kuna kitu kinaitwa muscle fatigue (misuli ya pua inashindwa kutuma meseji ya harufu) hivyo mwenyewe hujisikii!!
 
mkuu hao wahindi nimewatukana sana mammaee zao matusi ya hatari halafu kwa kiswahili humo ndani ya lifti wangeoga matusi mpaka wakashtaki polisi
 
Du! hatar sana but not proved kuwa mlinyanyapaliwa japo hyo hali nchi hii ipo tena inafanywa na waswahili wenyewe kuwapa grade ya juu wagen na kujipendekeza. People na prof. zao wakiona mzumgu/mwarabu/muhindi basi tena kama mnataka Huduma ww black utusuburi sana tu.
 
Labda mmoja wenu alikuwa na jasho baya maana kuna watu wengine wananuka hata huwezi kuvumilia lazima uzibe pua la sivyo utatapika, sidhani kama hao wahindi walimaanisha ubaguzi
 
pale ppf tower mida ya asubuh kuna muhind alikuwa akidrive kibaby walker alimzingua jamaa ,lakin yule mswahil alimkazia waswahil walimhbeza yule muhind akawa anajitetea yeye mtanzania,
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom