Holoholo-Baba Kijacho
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,880
- 14,184
umeomba ushauri wa nini kifanyike ili uwe unafika mshindo katika mzunguko wa pili baada ya bao la pili,humu kuna vijana,watu wa makamo na wazee,kuna viongozi wa dini,viongozi wa serikali nk. Unaleta hapa maneno hayana maana halisi ya kiswahili,unaandika kana kwamba unawaandikia vijana wenzako,unaulizwa utoe fasili ya neno demu unaanza kutukana,unaomba ushauri au unataka kujifurahisha. Kijana unastress kali sana za maisha."Wewe" ni demu, nadhani hapo utaelewa maana take kwa ufasaha