Mechanical Engineer
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 230
- 132
You are contradicting yourself!Kujua afya ni vzr mkuu,
Mm ni binadamu ukimwi hauambukizwi kwa ngono zembe tu...
You are contradicting yourself!Kujua afya ni vzr mkuu,
Mm ni binadamu ukimwi hauambukizwi kwa ngono zembe tu...
Bahati nzuri Deo Kisandu simjui. Ni kweli ni mgeni hapa JF. Lakini sio mgeni wa mitandao. Najua hunijui. Ninamiliki website binafsi na pages kadhaa kwenye mitandao yenye followers zaidi ya elfu 10. Kuandika ni sehemu ya maisha yangu. Napenda kuandika. Hapa JF nimeamua kuja ironically kidogo.Kasi ya huyu mtoa mada inanikumbusha bwana mmoja aliitwa Deo nalimi kisandu,alikuw moto sana hadi ikafika hatua akajiita mchungaji ila kwasasa amekuw kimya sana!huyu mtoa mada id yake inaonesha ni mgeni na threads zake nyingi zinahusu mambo yake binafsi kama alivyokuw bwana Deo.
If you believe are hoax.. don't get screwed.Fake news katika ubora wake... HIV & AIDS are all hoax
Ndio maana huwa najionaga wabongo wenzangu hatuna akili wala upeo. Unapinma ili itumie dawa ipiUnaendaje kupimwa ukimwi wakati Hanna dawa
Nadhani kwa sasa huyu jamaa amepata ajira hapa IPP MEDIAKasi ya huyu mtoa mada inanikumbusha bwana mmoja aliitwa Deo nalimi kisandu,alikuw moto sana hadi ikafika hatua akajiita mchungaji ila kwasasa amekuw kimya sana!huyu mtoa mada id yake inaonesha ni mgeni na threads zake nyingi zinahusu mambo yake binafsi kama alivyokuw bwana Deo.