Leo nilivyokwenda kupima UKIMWI!

Leo nilivyokwenda kupima UKIMWI!

Kuna rafiki yangu mmoja juzi asubihi aliniaga akanimbia naenda kumjulia baba WA rafiki yangu amelazwa hospital naenda kumjulia hali kumbe alikwenda kupima aliporudi ndio akanieleza kwamba nimeenda kupima Hiv lakINI mpka nyusi alinambia zikimtetemeka kwa woga aliyokuwa nao.
 
Kuna rafiki yangu mmoja juzi asubihi aliniaga akanimbia naenda kumjulia baba WA rafiki yangu amelazwa hospital naenda kumjulia hali kumbe alikwenda kupima aliporudi ndio a akanieleza kwamba nimeenda kupima Hiv lakn mpka nyusi alinambia zikimtetemeka kwa woga aliyokuwa nawo.
Inaogopesha sana
 
Kuna kitu kinaitwa window period. Mtu anakuwa na virusi ana uwezo wa kuambukiza lakini bado maambukizi hayaonekani katika vipimo isipokuwa PCR. Jihadhari sana
🙏🙏 Ila mkuu baada ya miezi 3 vinaweza onesha ukweli!
Ata hivyo me rubber nina ziheshimu Sana bila rubber sionagi kama nipo eneo husika!
Labda nikiwa kwenye maji yangu nina ruka kama chura aliyetupwa kwenye maji!
 
Ila mkuu baada ya miezi 3 vinaweza onesha ukweli!
Ata hivyo me rubber nina ziheshimu Sana bila rubber sionagi kama nipo eneo husika!
Labda nikiwa kwenye maji yangu nina ruka kama chura aliyetupwa kwenye maji!
Hizo muhimu sana. Kujiachia kwa uwanja wa ugenini ni uzembe
 
Ungengoja miezi mitatu, we jidai una haraka ya kupima alafu ukaambiwe umeukwaa...

NB: Kupima ni shughuli pevu... Nikiona bango la angaza na njia nabalisha kabisa... Sitaki masihara mm...
Naona hata kama kuna jamaa anakufahamu akikuta hata nyuma hugeuki
 
Na tujilinde pia
Sana mkuu wazungu hawataweza leta dawa ya kutibu hii kitu maana watu wao wana faidika sna nayo!!
Kama mwarabu anavyo faidika na mafuta!!
Hiii kitu imekaa pabaya Sana tuongeze juhudi za kujilinda!
Kibaya zaidi kila ukiona Gari inakuwa mpya zaidi nipo mahali hapa mjini Dar mda huu ninapata ka mchemsho kuna ka hali ya hewa sio kabaya sana Muumba Atukinge aisee!
IMG_20181210_182222.jpg
 
Sana mkuu wazungu hawataweza leta dawa ya kutibu hii kitu maana watu wao wana faidika sna nayo!!
Kama mwarabu anavyo faidika na mafuta!!
Hiii kitu imekaa pabaya Sana tuongeze juhudi za kujilinda!
Kibaya zaidi kila ukiona Gari inakuwa mpya zaidi nipo mahali hapa mjini Dar mda huu ninapata ka mchemsho kuna ka hali ya hewa sio kabaya sana Muumba Atukinge aisee!
View attachment 963344
Faidi tu, lakini kinga muhimu
 
Kwanza ningependa kuwapa hongera watu wote walioamua kwenda kupima bila kujali majibu yalikuwaje. Kwa kweli kitendo cha kuamua kwenda kupima ni ujasiri wa hali. Mimi sikuwahi kuupata ujasiri huo mpaka mama alipotishia kuwa kama tusingeende kupima basi angesitisha huduma.

Sikua na jinsi ya kufanya, siku mbili hizi nimekuwa nawaza sana. Sasa leo nikasema ngoja nijipeleke mwenyewe kwanza. Ili nijue afya yangu kabla mamaa hajanipeleka kwa nguvu atakapogomea kutoa huduma.

Nikaenda hospitali. Nilipofika nikamwambia yule mhudumu. Nimekuja kupima kwa utashi na hiyari yangu mwenyewe. Najua kuna majibu ya aina mbili. Sitaki maelezo yoyote mengine naomba nipime. Jamaa akanielewa akanitoba akatoa damu. Sio siri nilitetemeka wakati nasubiri majibu. Nikasikia harufu ya kikwapa wakati asubuhi nilipaka deodorant. Dakika tano hizi nilikuwa kwenye hali ngumu sana.

Niliwaza mademu wote niliowahi kukutana nao. Baadae nikajipa moyo mbona kuna watu wanaishi na maambukizi. Mimi sitakuwa wa kwanza. Mhudumu akanistua. "Huko tayari kwa majibu yako". Hapo ndipo nilisikia harufu zaidi ya kikwapa. Midomo ikakauka. Nikajikamua. Nikamjibu "Ndio maana nimekuja kupima".

"Hauna HIV. HAUNA UKIMWI". Nikamuangalia. Nikashusha pumzi kwa nguvu. Nikamjibu. Asante sana. Nimetoka hapo nikajipongeza kwa Mirinda ya baridiiii.

Sasa nikirudi home. Nitamwambia wife, achague twende tupime wapi. Aseme mwenyewe. Nitajifanya sijapima. I hope na yeye atakuwa poa. Pengine amekwisha pima ndio maana kaanza figisu figusu. Nitawapa mrejesho.
Na hili nalo umeanzishia uzi we jamaa ni muongo na cheti chako feki kesho utakuja na uzi umejamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom