Tumejifunza haitajirudia tena, leo fanyeni jamboJuzi hapa si mlikuwa na women's day na kabla ya hapo si mlikuwa na mother's day? Mlivyotukazia mlifikri tulifurahi?
Bado Mimi😔Baba watano min -me happy fathers day.
Half american wewe bado uzinzi haujakulipa, hivyo subiri.
Mpaji Mungu mishangazi mayai yameshaisha, hivyo utasubiri sana.
Shem zako zinakuja special na zawadi kabisa🤣Bado Mimi😔
😁Mishangazi tuachane nayo!!!Baba watano min -me happy fathers day.
Half american wewe bado uzinzi haujakulipa, hivyo subiri.
Mpaji Mungu mishangazi mayai yameshaisha, hivyo utasubiri sana.
AminaàaAtakaona kajukuu kake, Jah asababishe iwe hivyoo. 🙏🙏
Wow! Beatiful memories😍😍😍😁Mishangazi tuachane nayo!!!
Leo naona watu wengi wamepost wazee wao nikajaribu kuvuta kumbu kumbu zangu za udogoni....wakati naanza shule mi nlikuwa napelekwa na baba siyo mama, kwa vile vijiji vilivyokua structured kijamaa shule ya msingi ndo ilikua inaamua mambo mengi maana wanashika eneo kubwa baadae hospital, shule ya secondary na kijiwe vinakua around eneo hilo. Kila siku asubuhi nlikuwa naenda shule na mzee tukifika ananiacha shuleni yy anaenda anakofanyia kazi maana siyo mbali
Mungu awape maisha marefu wazee wetu walipigana na mengi kimya kimya
Mpaka nijipate ndo ntatulia kwa sasa 'njia za Mungu hazichunguziki'Wow! Beatiful memories😍😍😍
Nawe upunguze kuzurura sasa!
Na ikawe heri, Mungu asikupungukie🙏🙏Mpaka nijipate ndo ntatulia kwa sasa 'njia za Mungu hazichunguziki'
You are lucky dude
Na wakifanikiwa wanawarudia kwa kasi baba zao wa damu na wewe unatafutiwa udhaifu wako wowote unakuzwa kwa kipimo cha promax.Step fathers are now struggling with school fees and child support while baby daddies are apparently at local joints ordering for more Nyama-Choma and Alcohol.🥺🤣🤣View attachment 3369713View attachment 3369714
🙏🙏🙏Aminaàa
😂😂😂😂😂CCM watapinga watasema Nani kama Mama?