Leo ni siku ya wa baba duniani

Leo ni siku ya wa baba duniani

1749984903696.jpg
 
❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️ daddy always ❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️
1749987953969.jpg
 
Mweeee....
Mjitoe tuu out wenyewe mkitegemea tuwatoe sisi hali yenu itakua tete....

keep shining all responsible fathers out there we owe you.....
 
Happy daddie day!!

Thanks to Jah, kwa kunipa baba wee, nawaza kila siku je usingekua wee ni baba angu, nani angeweza kuvaa viatu vyako?

Wee sio tyuh baba, ni zaidi ya chochote kwangu, nashukuru kwa kila kitu ufanyacho juu yangu, malipo siwezi na sina. Ila najitahidi kadri ya uwezo wangu ili nawee ufurahie uwepo wangu kwako km mwanao.

Baba! Baba! Baba! Nakupenda mnoo, nawee unajua, nashukuru ktk wanao wote, mie ndo umeniamini na sijawahi kukuangusha km unavyoniambiaga, hili ndo linanifanya nidevelekee hapa uraiani.
.
Sema nn, ishi sanaa mshua, natamani nianze mie kuondoka hapa duniani kabla yako, wee ndo mtetezi na kimbilio langu.

Baba ninae na natamba nae, 💖❤️🙏🙏
 
Happy daddie day!!

Thanks to Jah, kwa kunipa baba wee, nawaza kila siku je usingekua wee ni baba angu, nani angeweza kuvaa viatu vyako?

Wee sio tyuh baba, ni zaidi ya chochote kwangu, nashukuru kwa kila kitu ufanyacho juu yangu, malipo siwezi na sina. Ila najitahidi kadri ya uwezo wangu ili nawee ufurahie uwepo wangu kwako km mwanao.

Baba! Baba! Baba! Nakupenda mnoo, nawee unajua, nashukuru ktk wanao wote, mie ndo umeniamini na sijawahi kukuangusha km unavyoniambiaga, hili ndo linanifanya nidevelekee hapa uraiani.
.
Sema nn, ishi sanaa mshua, natamani nianze mie kuondoka hapa duniani kabla yako, wee ndo mtetezi na kimbilio langu.

Baba ninae na natamba nae, 💖❤️🙏🙏
Fanya umuachie ka Juniour babu....
 
Step fathers are now struggling with school fees and child support while baby daddies are apparently at local joints ordering for more Nyama-Choma and Alcohol.🥺🤣🤣
1749990968663.jpg
1749990945796.jpg
 
15 June.. Remember this date..
Hatujakumbukwa.. Basi nasi tusijisahau..Raha jipakulie mwenyewe hutajipunja

Una lolote la kumwambia baba yako? Liweke hapa kama kumbukumbu ya siku yake duniani

Sherehekea akina baba, babu, baba wa kambo na kumbukumbu za baba leo Juni 15 kwa matakwa makuu ya moyo💗💗💗. Heshimu na tambua upendo, mwongozo, dhabihu na michango ya akina baba katika siku hii kuuView attachment 3369347
Mambo ya kipumbavu ya mabeberu kutufarakanisha waafrica
 
Step fathers are now struggling with school fees and child support while baby daddies are apparently at local joints ordering for more Nyama-Choma and Alcohol.🥺🤣🤣View attachment 3369713View attachment 3369714
Mimi nashukuru Mungu nimeshautua mzigo na dogo amepata ajira ya ndoto yake! Sasa nasajiriwa kwenye Bima ya afya na aliyekimbia ka dogo atajijua mwenyewe huko aliko! Ila kiongozi haya madikodiko siyo mchezo nimemwona kambale hapo wa uhakika!
 
Back
Top Bottom