Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
Kwa hapa bongo siku hii itaazimishwa Jijijini Dar ambapo pamoja na mambo mengine zitatolewa tuzo kwa waandishi waliofanya vizuri kwa mwaka 2010
Kwa maoni yangu uhuru wa habari tanzania upo ila kuna mambo kadhaa yanayominya uhuru wa habari mfano sheria ya magazeti inayompa uwezo waziri wa kufungia gazeti lolote na muda wowote akijiridhisha kuwa limekiuka tartibu za nchi.
na kutoa michango,maoni JF ni uhuru wa maoni kwani nchi nyingine kama Rwanda,burundi,uganda nk ni vigumu kidogo
Sikuuu OYEEEEEEE
M.Byabato
Kwa maoni yangu uhuru wa habari tanzania upo ila kuna mambo kadhaa yanayominya uhuru wa habari mfano sheria ya magazeti inayompa uwezo waziri wa kufungia gazeti lolote na muda wowote akijiridhisha kuwa limekiuka tartibu za nchi.
na kutoa michango,maoni JF ni uhuru wa maoni kwani nchi nyingine kama Rwanda,burundi,uganda nk ni vigumu kidogo
Sikuuu OYEEEEEEE
M.Byabato