jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Ndugu zangu kwa masikitiko sana..
Nasikitika kuwaambia nilipanga kumtelekeza huyu mwanamke ila ghafla sana uume wangu nahisi umekuwa wa baridi na nyoro nyoro, ndugu hisia zimepotea hakika niwapo na mwanamke mwingine tofauti na yeye misuli haikamati kabisa.
Wakuu network hazikamati, baridi kali ila uume umekuwa nyoronyoro ghafla, natamani kudinya nje huyu nimemchoka ila ndiyo hivyo na aibika wakuu, sijui huyu mwanamke kaniwekea nini ndugu zangu.
Mbaya zaidi niwapo na yeye uume unakua active sana ila nikipanga kumtoroka tuu unapoa hakika, mimi nimemchoka nataka kumkimbia ila kila nafsi ya kumkimbia ikiniingia basi network zinapotea haraka naishia kuaibika ndugu zangu.
Nisaidieni hichi kifungo ni kikuu kwangu. Na mtokaje huyu kwa usalama wa uume wangu wakuu.
Nasikitika kuwaambia nilipanga kumtelekeza huyu mwanamke ila ghafla sana uume wangu nahisi umekuwa wa baridi na nyoro nyoro, ndugu hisia zimepotea hakika niwapo na mwanamke mwingine tofauti na yeye misuli haikamati kabisa.
Wakuu network hazikamati, baridi kali ila uume umekuwa nyoronyoro ghafla, natamani kudinya nje huyu nimemchoka ila ndiyo hivyo na aibika wakuu, sijui huyu mwanamke kaniwekea nini ndugu zangu.
Mbaya zaidi niwapo na yeye uume unakua active sana ila nikipanga kumtoroka tuu unapoa hakika, mimi nimemchoka nataka kumkimbia ila kila nafsi ya kumkimbia ikiniingia basi network zinapotea haraka naishia kuaibika ndugu zangu.
Nisaidieni hichi kifungo ni kikuu kwangu. Na mtokaje huyu kwa usalama wa uume wangu wakuu.