Hebu nenda pale Tanesco uwaeleze hilo tatizo. Watakuwa hawajapata taarifa.Hatujapewa taarifa nini shida,yaani samaki kwenye friji tumekaanga wote.
Saluni na wachomelea vyumaamaa kweli Magufuli tutakukumbuka
Tanesco ni mzeempili aliechangamka!Tanesco wanasemaje?