EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Leo tunaanza wote kwa pamoja so tutarajie heshima ya mavazi na mienendo.
Tunawatakia mfungo mwema sana 🙏🏻🙏🏻
Sisi wengine hizi kwaresma na Ramadhani HAZITUHUSU kwaio tuvumilieni mkituona tunapiga vitu vyetu mchana kweupe msitununie😋😋
Tunawatakia mfungo mwema sana 🙏🏻🙏🏻
Sisi wengine hizi kwaresma na Ramadhani HAZITUHUSU kwaio tuvumilieni mkituona tunapiga vitu vyetu mchana kweupe msitununie😋😋