Leo ni miaka 57 ya Muungano

mzenjiboy

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
907
383
Watanganyika na wa Zanzibar leo wanakamilisha miaka 57 ya muungano, hapa ningepaswa kusema ‘wanasherehekea miaka 57’ lakini sisemi hivyo kwa vile hakuna la kusherehekea katika muungano huo.

Muungano wetu ni wa nguvu na wa kibabe yaani mukiutaka upo na msipoutaka pia utakuwepo. Na hii ni pale kila Rais ajae hula kiapo cha “kuulinda kwa nguvu zote”. Muungano huu umekosa ushawishi wa kuvutia nchi nyengine kujiunga nao.

Baada ya miaka 57 bado kuna migogoro na kero zisokwisha ndani ya muungano moja wapo kodi wanazotozwa wa Zanzibar wanapokwenda Tanganyika na bidhaa.

Kulikuwa na muungano wa Senegambia pia ulikuwepo wa USSR tulikuwa na Maalim Seif na Makufuli hivyo vyote Mungu kaondoa kwa uwezo wake na huu wa Tanganyika na Zanzibar time will tell.
 
Huu muungano nao mh!

Haina tofauti na kuishi na mke asiekupenda wala kukutaka, unakomaa tu ndio kwanza unamuita "my wangu"

Happy muungano day, wazanzibar tupo na nyie miaka alf kendaaaa hatuwaachi!!!
 
Kwa jinsi picha lilivyo, Zenji ikiwa free itakuwa Islamic State's Militia base itakayotumiwa na magaidi kuihangaisha inchi yetu. dalili zote zinaonyesha, Kwa mwenendo wa kesi, Mahakama ya awamu ya sita inataka kuwaachia huru wale jamaa waliokuwa wanamwagia watu tindikali na kuchoma nyumba za ibada za imani nyingine kiholela kwa kile walichokuwa wakikitamka kwa vinywa vyao " Hapana Mungu chini ya jua apaswaye kuabudiwa isipokuwa Allah, na Muhammad ndiye mtume wake". Watu wa aina hiyo ni Hatari kwa usalama.

Kila kiongozi akiingia madarakani huapa kuulinda Muungano ikiwa ni moja ya tunu za Taifa. Mama Samia akifanya huruma katika hili, itakuwa ni moja ya makosa ya serikali yasiyorekebishika Wala kusahaulika katika historia.
 
huna akili wewe,mbona watanzania tukitaka kuingiza bidhaa zetu Zanzibar tuna chargiwa?

Na huyu mama wa awamu ya 6 anatakiwa awe makini na maamuzi yake , Tanzania ni muhimu kuliko kitu chochote kile.
 
Back
Top Bottom