johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,126
- 144,094
Hamasa ninayoishuhudia leo inanikumbusha siku tuliyompokea Mwanamageuzi Oscar Kambona kutoka Uhamishoni Uingereza.
Kiukweli Bila kujali itikadi ya vyama wananchi kwa maelfu walifurika kumlaki.
Hata leo naona Watu wameweka itikadi pembeni labda tu Sukuma gang ndio bado wanajishauri.
Karibu nyumbani Tundu Lissu!
Kiukweli Bila kujali itikadi ya vyama wananchi kwa maelfu walifurika kumlaki.
Hata leo naona Watu wameweka itikadi pembeni labda tu Sukuma gang ndio bado wanajishauri.
Karibu nyumbani Tundu Lissu!