Leo ni Ijumaa Tuwe makini

Status
Not open for further replies.

Tanzania Mpya

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
253
144
Asubuhi ya leo nilipompeleka mtoto wangu kupanda school bus, tutakuta kituo chao cheupe lakini dereva wao akasema amepigiwa simu na wazazi wa watoto wengi anaowachukua kwamba yeye aende tu kwani leo ni Ijumaa, hawataruhusu watoto wao waende shule!

Sasa jamani, Ijumaa washaiharibu wenzetu, watu hawaiamini tena siku hii. Serikali ifanye jitihada kuirejesha siku hii iaminike kwa wa-tz. La sivyo, itaathiri mambo mengi sana ya kijamii si elimu tu kwa watoto wetu, bali hata uzalishaji mali na usalama wetu sote.
 
Asubuhi ya leo nilipompeleka mtoto wangu kupanda school bus, tutakuta kituo chao cheupe lakini dereva wao akasema amepigiwa simu na wazazi wa watoto wengi anaowachukua kwamba yeye aende tu kwani leo ni Ijumaa, hawataruhusu watoto wao waende shule!

Sasa jamani, Ijumaa washaiharibu wenzetu, watu hawaiamini tena siku hii. Serikali ifanye jitihada kuirejesha siku hii iaminike kwa wa-tz. La sivyo, itaathiri mambo mengi sana ya kijamii si elimu tu kwa watoto wetu, bali hata uzalishaji mali na usalama wetu sote.
Vipi mnakusanyika wapi baada ya alasiri
 
  1. Huko Zanzibar uamsho wameipa serikali saa 24 kumwachia shehe Farid la sivyo makanisa yatachomwa na maaskofu na wachungaji watauawa! - Source BBC saa 1 jioni jana.
  2. Zanzibar: Waislam kufanya msako kila mahali na hasa katika vituo vya polisi na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ili kumkomboa shehe Farid.
  3. Dar es Salaam: maandamano makubwa kufanyika kuelekea Central police ili kumkomboa shehe Ponda na wenzake.
  4. Waislam nchi nzima kuhimizwa kutoa michango ya hali na mali ili kuhakikisha familia za shehe Ponda na wenzake haziathiriki kwa kutokuwepo pamoja nao.

ANGALIZO: Watu wote hakikisheni hamko mbali na makazi yenu kwani hali ya usafiri itakuwa ngumu kwa kukosekana daladala na vizuizi kuwekwa barabarani, kuchomwa moto matairi nk.
 
  1. Huko Zanzibar uamsho wameipa serikali saa 24 kumwachia shehe Farid la sivyo makanisa yatachomwa na maaskofu na wachungaji watauawa! - Source BBC saa 1 jioni jana.
  2. Zanzibar: Waislam kufanya msako kila mahali na hasa katika vituo vya polisi na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ili kumkomboa shehe Farid.
  3. Dar es Salaam: maandamano makubwa kufanyika kuelekea Central police ili kumkomboa shehe Ponda na wenzake.
  4. Waislam nchi nzima kuhimizwa kutoa michango ya hali na mali ili kuhakikisha familia za shehe Ponda na wenzake haziathiriki kwa kutokuwepo pamoja nao.

ANGALIZO: Watu wote hakikisheni hamko mbali na makazi yenu kwani hali ya usafiri itakuwa ngumu kwa kukosekana daladala na vizuizi kuwekwa barabarani, kuchomwa moto matairi nk.

هذه العائلات هي مسلم يصبح رئيسا للجلد انه سوف علينا أن نفكر أننا جميعا فالا. وهذا أي ما تبقى من ثلاث سنوات نأسف يتعرف عليها، ولكن شيء واحد أنا متأكد من أنها ... لا الفشل.
 
Angalizo ndugu zanguni kuna kila dalili ya hawa waislam baada ya swala ya Ijumaa kuanzisha vurugu lakini tunawashukuru Jeshi la Polisi wamejipanga vyakutosha hivyo mnaombwa wale watakao kuwa maeneo na jirani na misikiti kuchukua hatua za tahadhari!!!
Nawaasa waislamu hakuna kitu kibaya kama kutafuta amani hivyo ni bora kutunza amani tuliyonayo!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom