Tanzania Mpya
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 253
- 144
Asubuhi ya leo nilipompeleka mtoto wangu kupanda school bus, tutakuta kituo chao cheupe lakini dereva wao akasema amepigiwa simu na wazazi wa watoto wengi anaowachukua kwamba yeye aende tu kwani leo ni Ijumaa, hawataruhusu watoto wao waende shule!
Sasa jamani, Ijumaa washaiharibu wenzetu, watu hawaiamini tena siku hii. Serikali ifanye jitihada kuirejesha siku hii iaminike kwa wa-tz. La sivyo, itaathiri mambo mengi sana ya kijamii si elimu tu kwa watoto wetu, bali hata uzalishaji mali na usalama wetu sote.
Sasa jamani, Ijumaa washaiharibu wenzetu, watu hawaiamini tena siku hii. Serikali ifanye jitihada kuirejesha siku hii iaminike kwa wa-tz. La sivyo, itaathiri mambo mengi sana ya kijamii si elimu tu kwa watoto wetu, bali hata uzalishaji mali na usalama wetu sote.