Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,056
- 10,342
Dah....mkuu tatizo liko wapi? ,Huu ni upekee mwingine wa Taifa letu katika kuendesha Mambo. Leo Waisalam Dunia nzima wanasherehekea kummalizika kwa Ramadan.
Lakini hapa Tanzania mwezi haukuandama hivyo Idd ni kesho.
Idd Mubaraka.
Sent using Jamii Forums mobile app