television
Member
- May 1, 2021
- 78
- 69
Tanzania yetu sijajua tulilaniwa na nani
Mizimu ya tz inajitegemea siku hizi!Huu ni upekee mwingine wa Taifa letu katika kuendesha Mambo. Leo Waisalam Dunia nzima wanasherehekea kummalizika kwa Ramadan.
Lakini hapa Tanzania mwezi haukuandama hivyo Idd ni kesho.
Idd Mubaraka.
Tareh14ijumaa Tanzania ziliungana na nchi ngapi kusherehekea IDD?Madhali hatuombani chuvi hao si wenzetu.
Uisilam hauindeshi na hisia au mipango ya watu.
Umewahi jiuliza kwa nini ukijamba unatakiwa kutia udhu na si kuchamba?
Mtume alisahau kutuambia tutafunga mwenzi mmoja ulimwengu wote na ametuambia Dunia itakua kiganjani?
Mimi sikuanza kufunga na bakwata hivyo siku ya jumatano nilikuwa nakamilisha then alhamisi ndo ilikuwa sikukuu yangu hata kama mwezi usingeonekana j'tano.Mkuu ningependa kujua Kutokana na source yako mwezi umeandama wapi?
Kwa nini walikosa space mkuu ?Ujue pale tandika kwa kishki leo asubuhi kuna watu wamekosa space?
Sheria ni kuwa kuna watu wanatizamia mwezi popote utakapoonekana na wao wanahesabu inawahusu.Sasa sijajua kishki anatumia sheria gani ambayo inatofautiana na huyu mufti mkuu aliyedai hakuna eid?
Umeelezea kinafiki acha roho mbaya watu wakifunga kwa mitazamo yao wewe una athirika nini?Mimi sikuanza kufunga na bakwata hivyo siku ya jumatano nilikuwa nakamilisha then alhamisi ndo ilikuwa sikukuu yangu hata kama mwezi usingeonekana j'tano.
Lakini pili mwezi ulionekana kenya na watu wakamthibitishia kadhi ila kadhi alikataa kuutangaza mwezi huo,clip zipo zenye ushahidi juu ya hilo.
Kumbuka kuwa suala la mwezi mimi siliwekei mipaka ya kinchi.
Kwa nini walikosa space mkuu ?
Sheria ni kuwa kuna watu wanatizamia mwezi popote utakapoonekana na wao wanahesabu inawahusu.
Sasa kuna watu wanafata mwezi huo wa popote,mufti anafata mwezi wa maeneo maalumu ambayo hayaeleweki ni yapi
Mkuu tulia usiwe mkali.Umeelezea kinafiki acha roho mbaya watu wakifunga kwa mitazamo yao wewe una athirika nini?
Nimesema hivi kwa maana maalumu mkuu na wala sio kama namzushia mtu.Yani ni kweli kabisa hujui wanafata mwezi wa wapi?
Lakini pia ili kuthibitisha kauli yangu kuwa ni ya kinafiki naomba uniambie ..Yani ni kweli kabisa hujui wanafata mwezi wa wapi?
Yeye wanini ikiwa wewe upo huru kufuata mwezi utakao?Lakini pia ili kuthibitisha kauli yangu kuwa ni ya kinafiki naomba uniambie ..
Kwa mujibu wa mufti yeye atautangaza mwezi ukionekana maeneo gani hapa duniani maana imeshathibitika kuwa hata mufti anafata mwezi wa kimataifa.
Je mataifa hayo ni yepi mkuu ?
Nimemtaja mufti kwa sababu kuna mkuu hapo Scars aliuliza akamtaja mufti,kwa hiyo ikabidi na mimi nimtaje mufti kwa mujibu wa mkuu alivyouliza.Yeye wanini ikiwa wewe upo huru kufuata mwezi utakao?
Mkuu mimi sijibu na siwezi kejeli.Hizo chuki zenu ndo zinaonyesha wazi kwamba ndo makundi ovu