Leo ni fursa kwa kwenda mbele

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Jul 26, 2017
947
1,088
"Kijana shtuka lalamika huku unapambana ndio msemo wetu".

Fursa za kufanya mtaji chini ya Tsh.10,000 ndani ya wiki unafanya maisha.

Karibu

1. Biashara ya mboga za kijani mfano halisi ni mchicha.
Mahitaji
a) Udongo - Mtaji free
b) Samadi - Mtaji free
c) Mbegu - Mtaji ni Tsh.1,500 robo tu inatosha kuanzia.
d) Gunia au Kiloba au Safret (12) - Tsh.3,000.
e) Maji - Tsh.100 @ 7days = Tsh.700
f) Ndoo ndogo 1 - Tsh.2,000
g) Kimwagilizio - Tatafuta chupa kubwa ya maji mtaani itoboe kwa chini kwa misumali. - Mtaji free

Mtaji mradi ni Tsh. 7,200 + mengineyo Tsh.2,800.

Jumla kuu Tsh.10,000

Wazo hili chukua ukiona linakufaa maana linafanya kazi popote aidha kijijini au mjini (hata ukiwa nyumba za kupanga inakuwa kama maua)

Mauzo
Hapa ni juu yako mkulima ila utaweza kuvuna zaidi ya mara 5 mpaka 10 ndani ya siku 7.

Bye.

9215e44524f8ca6a6b5d6e6b31a20fb3.jpeg
574ea4d92c30d49c4c5819116a772805.jpeg
70f0c0b47615871068980cb585d3a753.jpeg
ca4c03607934e49c822d8900a18ea321.jpeg
50ea096e9f2ed84ecb2b0d23f169eaa8.jpeg
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom