Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,938
- 10,815
Nilikuwa nikisikia kwa jirani ila Leo yamenifika, sikufanikiwa kumzika Claudia Mwana wa MASSAWE kutoka mkoa wakilimanjaro Binti pekee aliyetegemewa na Baba yake Mzee MASSAWE pale Rau.
Hakika ni majonzi Binti ambae alikuwa tegemeo pekee la Mzee MASSAWE ,
Leo napita hapo nyumbani kusalimia NAKUTA kaburi lenyesaaba ULIO andikwa r. I.p Claudia MASSAWE real?
NImeamini mliwafyeka hongereni
Nauliza naambiwa Claudia hata hakuandamana ila TU alishutiwa na polis walio tumwa na samukaya! Awafinge wadanganyika
Hakika ni majonzi Binti ambae alikuwa tegemeo pekee la Mzee MASSAWE ,
Leo napita hapo nyumbani kusalimia NAKUTA kaburi lenyesaaba ULIO andikwa r. I.p Claudia MASSAWE real?
NImeamini mliwafyeka hongereni
Nauliza naambiwa Claudia hata hakuandamana ila TU alishutiwa na polis walio tumwa na samukaya! Awafinge wadanganyika